International Women's Day

International Women's Day

Masanilo

Platinum Member
Joined
Oct 2, 2007
Posts
22,286
Reaction score
4,523
Jamani nawatakia kila laheri wanawake wote kwenye siku yao ya kuwakumbuka wakina mama duniani..wadada wa JF nawatakia kila lililojema

Mzee Masa
 
Masanilo, naomba kuungana nawe na wanajamvi wenzangu kuwatakia mama, dada, wake, ndugu, na wakina mama wote heri ya siku ya wanawake duniani!!
 
Hongereni kina mama nami nawatakia kila la kheri.

Ninaswali pia, Masanilo........ sijawahi sikia siku ya kinababa. Hivi kuna siku ya wanaume au chama cha wanaume? au ndio mfumo jike?
 
Back
Top Bottom