Acha kuwaombea wenzako mabaya ... hata kama Chelsea watafungwa watakuwa wameonyesha kwamba wametawala game kwa kipindi chote cha kwanza. Bado nina amini kwamba Chelsea watatoka sare ama kushinda. Kila la heri wana wa Darajani!
Roho mbaya tu... Na haiwi hivyo sasa hahahaha
Hawa walishazoea marefarii wa Uingereza ambao badala ya kuchezesha mechi wanaleta ushabiki. ha ha ha ha haPenalty mbili hizo moja diving upande wa Chelsick na Inter dakika za majeruhi naona hakuna kubebwabebwa leo clean goals count.
Hawa walishazoea marefarii wa Uingereza ambao badala ya kuchezesha mechi wanaleta ushabiki. ha ha ha ha ha
Tuweke ushabiki pembeni kdg.....nadhani Chelsea wamenyimwa penalti halali..Hawa walishazoea marefarii wa Uingereza ambao badala ya kuchezesha mechi wanaleta ushabiki. ha ha ha ha ha
Hivi Ma-mod's wako wapi......?
Kipa wa Brazil huyo wewe...Lol!...hamna kipa hapo!
Mhhh?
Unahitaji msaada gani mkuu?
......nnaaaaaaaaaaa, TAK KUKUPA poleee....afu nna swali la kizushi?, kwanini wewe hapo 'taa' yko ni nyekundu mda wote hata kama upo online?, na mimi naomba niwe 'kama ww'..Lol!Hapana MKUUUUUU, ni vile nilikuwaaa...nnaaa......