Internazionale vs Chelsea (Stadium: Stadio Giuseppe Meazza, Milan (ITA)

Check kaumia haya tena na huyu refa mjinga sana tabu ya kuchukua fweza hiyo ...
 
Na wewe mbona huonekani? Teh teh teh

Nimekuwa invisible kwa muda mkuu😱... leo sina presha mana 'wazee wa kazi hawachezi aka manure'....p'se usisahau kubandika pics za game!..
 
Game tamu sana hii kuicheki kama ukiwa hauna upande unaoshabikia kama mimi hapa, unless othawiz, preshaaaaa itapanda, presha itashukaaa, vichomiiii....
 
Game tamu sana hii kuicheki kama ukiwa hauna upande unaoshabikia kama mimi hapa, unless othawiz, preshaaaaa itapanda, presha itashukaaa, vichomiiii....
Wacha uongo we Manure.
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 13 (8 members and 5 guests)
Kati ya hao watano, Ab-Tchaz na Masanilo hawakosi
 
Shhhhhhhhhh....muulize taaaaaraaaatibu, asije akatufungia.....

Afu anza na Mkuu Moderator Invinsible uko?

ha ha Manda,naona anaangalia tu posti zetu na midadi ya mechi)): Hebu washinde ili asitupe adhabu...
Ab-Tichaz nae wapi jamani mode mwingine?!...

mmh!tusifurahi sana mana na sie tuna kiporo chetu kwenye 2nd leg...
 
Wacha uongo we Manure.

Tehetehe!, mimi sio ww banaaa, najua ww uko na Mourhno, mie hapa wote siwataki/nawataka. Mrhno alichonifanya akiwa na Porto 😑😑😑siwezi msamehe hadi 2mr, inhal Bluz wache wawepo wawepo hadi last 8, ili EPL wasikomae kivle sanaaaaa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…