Internet is cheaper in Kenya than Tanzania averagely

Endelea na Kama... Kama... Kama sio... [emoji23][emoji23][emoji23]
Failed state

 
Hahaha hivi unadhani ukijificha nyuma za hizo screenshot ndio njaa itaisha kenya [emoji23][emoji23][emoji23] unajidanganya na endelea kuhifadhi hizo screenshot kwa simu yako,
Failed state kenya.



Kutoka Ireland mpaka Turkey... hakuna media haishangazwi na Tanzania.

 
Siwezi shangaa maana ni mabwana zenu mnawalamba miguu [emoji23][emoji23][emoji23]
Aibu kama hii hapa chini

Jambo la kwanza kama uko na akili, UAE hailimi. Hicho chakula walinunua kwingineko.
Jambo la pili, UAE iko na matrilioni za mafuta.

Jambo la tatu, Kenya afadhali tukufe njaa, lakini hatuwezi kula albino.

 
Hahaha mnapewa misaada na nchi jangwa kwa sababu mashamba yenu yenye rutuba nzuri yanamilikiwa na wazungu huku wakilima mazao yasiyo faa kwa chakula huku mamilioni ya wakenya wakiachwa bila kitu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kennyatta family pekee inamiliki mashamba yanayotosha wakenya wote,

Hii aibu sana malori yanaenda hadi ikulu kutoa misaada,
Hizo screenshot Haziwezi kukuletea chakula.

Jambo la kwanza kama uko na akili, UAE hailimi. Hicho chakula walinunua kwingineko.
Jambo la pili, UAE iko na matrilioni za mafuta.

Jambo la tatu, Kenya afadhali tukufe njaa, lakini hatuwezi kula albino.

View attachment 1197793
 
According to your rotten pumpkin? TTCL supplies Internet almost to the whole of this region, now is connecting SADC countries to the fibre optic cables
Tanzania is a technological desert where such things are both expensive and rare.Hao SADC wote wana mitambo zao bora hawahitaji Bongolala za Tz.
 
Yani Kenya wananichekeshaga kitu kimoja.
Wenzao wanaongelea current issues wao wanaleta habari za albino past news huko 5 years ago!!!!
Ilhali wao currently wanakumbwa na njaa.
 
Tanzania kuua albinos pia ni statistics za uchwara huh?
We miaka tano mpk sita imepita Albino wapo salama kesi zimeisha unaleta hayo mambo mwaka huu!!????
You can't be serious.
 
Wamehishiwa maneno hawa[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanadhani labda wakileta past news watashinda argument, sisi tunaleta current news.
Yani Kenya wananichekeshaga kitu kimoja.
Wenzao wanaongelea current issues wao wanaleta habari za albino past news huko 5 years ago!!!!
Ilhali wao currently wanakumbwa na njaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…