Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka hapa mkuu. Saidia na wengineNitakutumia number PM upate uhakikika ila hao ndio giant wa mji.
Thanks chief...Ntawapigia morning nione wanasemaje.Kuna jamaa wa CTV walikuwa maarufu mjini hapa zilipokuja Fiber za kina Zuku na Raha wamekosa mvuto,
Rafiki yangu Mmoja wa ilala ameniambia wameanza kuuza internet ilala, sina uhakika kama Tabata wamefika, jaribu kuwa cheki, bei ni kama zuku tu.
Hawa jamaa naona kama hawako kwenye business tena, Website yao iko Down na pia namba yao haipatikani. na last time kupost on facebook ni 3 years agocheck na jamaa wanaitwa cootel nakumbuka hotel moja hapo tabata ilikua inatumia internet kutoka kwao
Hiyo website inasumbua kufunguka kwenye simu...Kuna jamaa wa CTV walikuwa maarufu mjini hapa zilipokuja Fiber za kina Zuku na Raha wamekosa mvuto,
Rafiki yangu Mmoja wa ilala ameniambia wameanza kuuza internet ilala, sina uhakika kama Tabata wamefika, jaribu kuwa cheki, bei ni kama zuku tu.
Inasumbua kweli, chukua tu namba wapigie.Hiyo website inasumbua kufunguka kwenye simu...