Edsger wybe Dijkstra
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 244
- 491
Habari zenu wanajukwaa, naulizia kwa anayefahamu internet service provider anayepatikana jijini Mwanza, nahitaji huduma ya internet iwe ni ya point to point au fiber connection. Internet iwe yenye kasi ya kutosha angalau 10Mbps na kuendelea.