EASTBUSINESS
Member
- Jul 5, 2014
- 6
- 1
Mpo mji gani?
Malipo yote baada ya kupokea mzigo au 18% pekee?
Yani sioni mnachokifanya hapo kwanini nisinunue kwa kadi yangu ya benki au kwenye simu yangu ya mkononi hadi nipitie kwenu au mnataka mpate details za kadi za watu na emails manake siwaelewi kabisa hebu toeni mfano wa hiyo huduma yenu inafanana na ipi duniani tu Google tuelewe vizuri
tunasaidia wale wanaotaka kununua
Malipo ni 18% .
matumizi mabaya ya neno "Tunasaidia"
Samahani,inaelekea hujaelewa:
Kama una creditcard ya bank ambayo inakubali online transactions i.e kununua vitu kwenye mitandao kama ebay,amazon etc.. well and good, lakini kumbuka sio bank zote zinatoa huduma hiyo na kuna watu wanahitaji hiyo service; lejea threads za manunuzi kwa kutumia ebay utakubaliana namimi:
Hatuombi credit card details zawatu... tunatumia credit card zetu kuagiza mzigo au kulipia software yako ambayo unataka kununua.
Ukiuliza huduma hii inafanana na ipi.. naweza kukutajia hata paypal..tofauti nikwamba wao wanachukua credit card details zako wakati sisi tunahitaji a written contract between you and us.
Mimi nilishakuelewa ila tu idea yenu iko nyuma kidogo sasa hivi tatizo kubwa la watu sio kununua bali kuuza mitandaoni katika hilo kuna kamba za kutisha bado kidogo tu tunafikia kwenye maandiko yalikosema bila kuwa na chapa ya huyo mnyama hakuna kuuza wala kununua je nyie mtakuwa nayo? Tembelea hapa Home
Mimi nilishakuelewa ila tu idea yenu iko nyuma kidogo sasa hivi tatizo kubwa la watu sio kununua bali kuuza mitandaoni katika hilo kuna kamba za kutisha bado kidogo tu tunafikia kwenye maandiko yalikosema bila kuwa na chapa ya huyo mnyama hakuna kuuza wala kununua je nyie mtakuwa nayo? Tembelea hapa Home