asante mkuu,
Ninatumia Nokia E60, unaweza kunisaidia jinsi ya ku configure kupata internet telephony?
Hizi ni settings za Nonoh nilizofanya kwenye N95 yangu. Hata hivyo unaweza kutumia katika simu yako pia. Kuna jamaa aliandika hivi na mimi nikaziweka hizo settings, na sasa natumia Internet telephone badala ya kutumia service provider wa mobile phone. Jamaa aliandika hivi:
I can't help sharing here my successful Nonoh sip settings on my N95 with someone who has the same interest in Nonoh VOIP service. After trying hard for some time, finally I have the pure freedom of using mobile VOIP at home again, just as when I was using free Truphone calls a year ago. No need to set up other VOIP hardwares anymore if you have a Wifi at home and a Wifi device like N95 or E65, and no need to use the sip function within fring!
Kwenye simu yako fungua Menu=>Tools=>Settings=>Connection=>SIP settings, halafu jaza vipengele hivyo kama hapo chini.
Settings as below:
Profile name: Nonoh (or whatever you like)
Service Profile: IETF
Default access Point: **** (Your home Wifi network or others)
Public user name:
username@nonoh.net
Use compression: No
Registration: Always on (my choice)
Use security: No
Proxy server (Leave it unchanged)
Proxy server address: None
Realm: None
User name: None
Password: ****
Allow loose routing: Yes
Transport type: Auto
Port: 5060
Registrar server (Need to customise this)
Registrar server address: nonoh.net (no 'sip' in the beginning)
Realm: nonoh.net
User name: username
Password: ****
Transport type: Auto
Port: 5060
Ukishajaza zote hizo rudi Connection=>Internet tel=> Nonoh, hii inakuwezesha kuregister kwenye simu hiyo service. Ukitaka kupiga simu za internet, nenda phone book, chagua namba, nenda option, chagua internet call halafu OK.
Muhimu: Inabidi uwe umeregister kwenye serice ya VOIP kama Nonoh ili uwe na username na password.