Internet UNLIMITED !

atlwindows

Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
17
Reaction score
0
Mambo Wakuu wangu,

Nilitaka ku nunuwa internet kwagili personal use, sasa sijui kama nichukuwe ya kampuni aina gni ?
I need UNLIMITED.. and CHEAP (ofcourse 😛)

TTCL- Nime sikiya TTCL wanayo UNLIMITED kwa 40k per month .. is it worth ? how much is their modem ?

ZANTEL- Wanayo ofa ya modem kwa shs50,000 and but NOT unlimited...

Plz give your EXPERIENCE and views... 🙂
 
Chukua modem ya zain, kwa sh 60000 tu. upate 8gb/free ya kutumia mwezi mzima. then after 1month utakua ukilipia
either 500 per day au utakua unajiunga na vifurushi vya mwezi kwa sh 2500/= utapatiwa 400mb. Kwa sasa Zain ni cheap
kuliko mitandao yote ya kifisadi.
BTW For unlimited Internet next year usisahau ku vote Kwa mpenda haki na Mkombozi wa kweli Ndugu DR W SLAA.
-Ahsante
 
Ndugu yangu, inategemea wewe kama hauna downloading na uploading nzito, la sivo hakuna unlimited ambayo ina speed nzuri na inauzwa bei nafuu, hiyo 40kbps haina maana yoyote.
 
Lah. WaTz mko nyuma, tena sana.

Eti 40000 kwa mwezi? makampuni ndiyo yafaa kulipa bei kama hio.. ooh, nilikuwa nimesahau ni Ts Shillings, LOL

Unlimited offers hapa kwetu ziko kwa wingi. Kuna kampuni inaitwa Wananchi inayolipisha shilingi 4,999 za Kenyw kwa mwezi for unlimited internet ya speed ya 1mbps.

Safaricom ina offer ya unlimited ya Wimax inayogharimu 5999 kwa speeds za 2mbps. Nimeona wako tayari kuzindua internet ya 4G miezi miwili ijayo ambayo itakuwa na speed za kushangaza (600mbps-1.5Gbps).
 

Dah! wakenya mko mbele tena sana! By the way, ule mpango wako wa kuja kufanya kazi ya uwakili hapa bongo unaendaje?
 
So far natumia ya voda kwa mwezi ni 70,0000 ie 2GB speed yake ni nzuri na modem ni 90000.
Ingawa am told Zantel kama uko town ni nzuri kwa speed na gharama
 
Dah! wakenya mko mbele tena sana! By the way, ule mpango wako wa kuja kufanya kazi ya uwakili hapa bongo unaendaje?

La hasha. Mimi sikusema nataka kuja huko Tz kufanya Kazi, ila tu nilitaka kuwajulisha kuna wakili shupavu anayehudumia wateja kwa mtandao hadi wanashangaa. Niko na 95 percent positive feedback kwa elance.com (watu chachache sana wanaweza kujigamba na takwimu kama hizo). Nilikuwa na mpango wa kutembelea Tz kama mtalii tu, lakini baada ya kuyasoma maoni ya WaTZ kwa JF (sana sana maoni ya kuoghofia dhidi ya Wakenya), nahofia usalama wangu mara tu nitakapogunduliwa mi mkenya kwa hivyo sina mipango ya kutembea huko kwenu.
 

Wabongo ni wakarim sana, kuna pahali yangu moja wako wakenya mbili, wife anao wafanyakazi 3 kenyans, they are good at work, hata wewe kama legitimate wala haisumbui, karibu sana!
 

Wewe nduyangu mkenya mbona unakiherere kama kuku mtetea mbonanyiyi mnamabo yakijinga hivi inahusu nini kama sisi tuponyuma amatupo mbele nini cha ajabu ndomana mnalimana mapanga mtukauliza bongo we untletea sisisisi kenya mnanini nyie mnakula maliasiliyetu unarikia mabo hayakuhusu kwani huyu jamaa anataka kuweka Itanet kenya mpakautuambia mitandao yenu hujasomanini majitumengine kichefcheu kinoma sijui dege la jeshi au mtambo
 

Duh, Ndugu yangu,

Mimi si mtaalam wa lugha na wala msamiati wangu sio wa hali ya juu, lakini naona kana kwamba maandiko yako yameadhiriwa na lugha za mama kupindukia na majibu yako yawawezi kusemekana ni ya Kiswahili. Tafadhari tumia lugha sanifu inayoeleweka.
 
Nahata sisi hatunashida yakutembelewa nawajinga kamawewe mawzo yako vinyu bongo tokalini hakuna usalama niyinyi patanikwanza ndo muangalie ya wenzenu
:confused2:
 

Hivi internet ya 4G ipo Kenya tu?
 
Kwa uzoefu wangu zantel ni best kama unakaa maeneo ambayo inapatikana - mimi ninakaa Kongowe. Kwa shs. 99000 unapata moderm yao then waweze kuchukua banle ya elfu kumi kila wiki ambayo inakupa 2GB. Kama matumizi yako ni makubwa kidogo hopefully 2GB itakufikisha mbali in 2 weeks. Ikishs unaweka tena elfu 10. Kama ukuweka jumla ya elfu kumi kila wiki utakuwa upepata/tumia 8GB kwa gharama ya elfuu 40 amabazo ni faida kubwa kuliko mb500 za ttcl kwa siku 30 kwa gharam hiyo ya 40K.
TTCL wanajitahidi laikini bado hawafikii Zantel.
 

Hicho kiherehere utaja olewa wewe, sasa 40,000 ya Tz na 5000 Ksh nani analiwa?
 
Hicho kiherehere utaja olewa wewe, sasa 40,000 ya Tz na 5000 Ksh nani analiwa?

Just confirmed the guy actually said 60000, not 40000. Considering its a limited service (8GB), I would say Tanzanians are being ripped off. 5000 Kshs (about 100,000 Tzshs) is for Unlimited service for a whole month (I should add that the speeds are quite good). Considering I download like 30GB of data every week, if I was in tanzania, I would be paying millions (maybe even billions) of shillings if I took up the above offer
 
not only billions but trilions
 

30 GB of illegal downloads, sio? yeah u r very advanced.
 
watanzania achani jazba!! Mgeni huyu mkaribisheni aje atuachie pesa nchini kwetu!... mada ipo juu jamaa anataka msaada!.. mi namshauri zantel
 
We njoo tu. Huku mambo ya kuangalia mtu rangi au anatoka kabila gani hayapo. Ila usije na hizo big head attitude zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…