Internet UNLIMITED !

If they were illegal they would have been shut down by now, wouldn't they? Besides, there are numerous exceptions in the copyright law so what do you know.

***The above is a reply to Abdulhalim*****
 
Kasopa tatizo ni kisomo au ni matumizi ya keyboard? Ndugu yangu aibu hiyo. Mkenya akitucheka utasema ni malingo?
 
Wazee, nimesoma posti zote. nadhani altwindows amepata maoni ya kutosha. Isipokua hamjasema kama kuna UNLIMITED service. Nadhani kenya pia hakuna hiyo service. kama ipo, basi tumjulishe, naona yeye anataka zake kuangalia baruapepe zake. Kiwastani anataka uhuru wa matumizi. Je UNLIMITED kwenye huduma za mitandao ipo au hajafika.
 
Hamna kitu unlimited ktk literal or direct meaning ..sayari yenyewe ni limited utawezaje kuwa na resource infinite wakati sayari yenyewe ni finite?
 
If they were illegal they would have been shut down by now, wouldn't they? Besides, there are numerous exceptions in the copyright law so what do you know.

***The above is a reply to Abdulhalim*****
If u do live in AFrica or elsewhere ambako wapo linient vs internet's piracy, parasitism & anarchism u can enjoy the ride while it lasts, lakini u can't fool me kwamba u can't tell the difference btn legal & illegal downloads.
 
mkuu mbona hujaniweka wazi ili nijirekebishe au unangoja onyango anicheke
ubarikiwe
Kasopa tatizo ni kisomo au ni matumizi ya keyboard? Ndugu yangu aibu hiyo. Mkenya akitucheka utasema ni malingo?
 
East african community tutapata kazi kwa style hii jamani alafu lawama wageni wageni waajiri nani?????????????
 

Stop embarrassing yourself

4G - Wikipedia, the free encyclopedia

http://www.nation.co.ke/business/ne... in 2010/-/1006/890190/-/j9u85pz/-/index.html

Oh, and Tanzanians love (white) south Africans more than black Kenyans (Air Tanzania saga, SAB, Shoprite, SADC and many other pro Sa agendas)

Thirdly, there is no credibility that whites own Kenya. 80 percent of shares traded at NSE are black owned, ost companies are owned by Kenyans, ran by Kenyan CEOs etc.

Why I am even bothered by your post? You seem to have a phobia for research yet happy to make wild allegations.
 

Hata kusoma halijui. {First hakuna internet ya 4G unless you associate mobile phone technology}. bado linafikiri ni werevu. Narudia Wakenya ni manamba kwenye nchi yao hamuwezi kusema lolote hao unaosema wakenya wanamiliki shares etc. ni wa kuzaliwa nje ya Kenya au ni akina Moi etc. endelea kujidanganya. Tanzania ndio mama wa SADC, sasa sijui unaeleza nini umekurupushwa? Sio mashada hapa uko kwenye blog ya Watanzania. Kasome historia ndio urudi hapa.
 
Yes Zantel ni wazuri na wako cheap, unaweza kuingia kwenye package yao ya high life na ukapata 2GB kila wiki kwa sh 10,000. Kwa sasa wamunguza bei ya moderm zao za 3G to 49,900
 
Yes Zantel ni wazuri na wako cheap, unaweza kuingia kwenye package yao ya high life na ukapata 2GB kila wiki kwa sh 10,000. Kwa sasa wamunguza bei ya moderm zao za 3G to 49,900
Spidi ikoje?
 

Go TTCL.

Lakini uombe Mungu Al-Shaabab wasihujumu marine cable ya Seacom
 
Hamna kitu unlimited ktk literal or direct meaning ..sayari yenyewe ni limited utawezaje kuwa na resource infinite wakati sayari yenyewe ni finite?
Mzee leo umenifurahisha sana kwa hii post. Hata hivyo unlimited siyo absolute Abdu hapa imetumika kwa maana yake tuliyoizea yaani unlimited in a sense that you are limited by other circumstances in its use.
 
Mzee leo umenifurahisha sana kwa hii post. Hata hivyo unlimited siyo absolute Abdu hapa imetumika kwa maana yake tuliyoizea yaani unlimited in a sense that you are limited by other circumstances in its use.
Sawa muungwana.
 
How come no one commented on ZAIN's internet ??

What i feel zains is best. They offering modem at 60,000. And packages of 500/-shs per day for 40mb and 2500/- per month for 400mb.

TTCL have told me they charge 40,000 per month UNLIMITED with modem of 75,000 - is this true ?? :eek2:

Lastly, plz consider to be on topic...as I see there are lots of comments going off-topic...so plz your consideration is appreciated !
 
Tataizo waTanzania bado hamjamuelewa huyu Mkenya, wengi wa wa tZ tunadhani kutumia internet ni ku cheki emails , kusoma magazeti na kuchat, ndio mana tunapo pewa hivyo vi *GB kwa bei kubwa bado tunaona dah mbona tuna bahati, wakati wenzetu wa Kenya wamesha amka wana elewa nini matumizi ya Internet , Mfano naona hapojama na ashanga hizo 30GB kwa week. Bado tuna chargiwa bei kubwa kwney internet na watu bado hatuelewi
 

Si kweli kwamba WATANZANIA hawajui matumizi ya net! Matumizi ya net ni jambo la mtu na mtu, wewe unavyotumia simu si sawa na mimi navyotumia simu-mahitaji. Jambo liko kwenye mahitaji, na mtu mwenye mahitaji mkubwa hawezi kuwa anaongelea viGb kama wewe!!! atakuwa naongelea speed, na analipia speed ya download and upload, si kiasi cha download na upload!
 
Tumia voda they gat UNLIMITED internet for 7days @10,000/= and 30days @30,000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…