Internet ya Halotel ni matatizo!

Hawa mbwa wa ki Vetnam sijui kesho nitaweza ku download Wilder Vs. Fury. Halafu hawa Wakurugenzi wa Halotel kutoka Vietnam wote tumeona jinsi baadhi yao kama siyo wote walivyokamatwa na kushitakiwa kwa Uhujumu Uchumi kwa business practices zao za kitapeli
 
kuna haja ya kufanya boycot,ujinga wanaotufanyia halotel hauwezi kuvumilika
 
Piga huduma kwa wateja Mkuu hiki tunachofanya hapa siyo ustaarabu
 
aysee n kwel mkuu,tena huwa ikifika saa nne usiku
n kwel mkuu,tenq ikifika saa nne usiku huwa wanazima kabixa internet haifany chochote
 
aysee n kwel mkuu,tena huwa ikifika saa nne usiku
n kwel mkuu,tenq ikifika saa nne usiku huwa wanazima kabixa internet haifany chochote
 
Wape wape Mkuu hata mimi wananiboa sana,mwanzoni walianza vizuri lakini as the days goes on wanazidi kuporomoka.Kwa kweli aibu kwao!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…