beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Watendaji katika Vyuo vya Afya na Hospitali wametakiwa kuwasimamia vizuri Watarajali (Interns) ili kuepusha kutibiwa na watu wasio wa uwezo
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi ametoa wito huo akisisitiza ubora kwenye Mafunzo yao ili watimize majukumu yao ipasavyo akisema, "Ukiacha, ipo siku unaweza kupata ajali anakuwekea kitu cha ajabu kinaoza kwenye Mifupa yako"
Unafikiri hatua hii itasaidia kuboresha Huduma za Afya?
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi ametoa wito huo akisisitiza ubora kwenye Mafunzo yao ili watimize majukumu yao ipasavyo akisema, "Ukiacha, ipo siku unaweza kupata ajali anakuwekea kitu cha ajabu kinaoza kwenye Mifupa yako"
Unafikiri hatua hii itasaidia kuboresha Huduma za Afya?