Wanabodi, hii ndio taarifa kubwa katika viunga vya hospitali ya rufaa ya mkoa wa Temeke, takribani unaenda mwezi wa tatu sasa vijana wa intern (nurses, doctors, lab, pharmacist), hawajalipwa posho yao ya kila mwezi kwa mujibu wa mkataba.
Hali hii imezua sintofahamu kubwa huku vijana hawa wakiwa hawajui nini cha kufanya, kufuatia kuendelea kupewa ahadi zisizotekelezeka.
Kwa kuwa wahusika hata humu wapo, hebu jaribuni kuwasidia hawa vijana hali zao ni mbaya sana.
Hali hii imezua sintofahamu kubwa huku vijana hawa wakiwa hawajui nini cha kufanya, kufuatia kuendelea kupewa ahadi zisizotekelezeka.
Kwa kuwa wahusika hata humu wapo, hebu jaribuni kuwasidia hawa vijana hali zao ni mbaya sana.