Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Kuna haka katabia ambako nimezoea kukaaona kwenye magroup ya whatsapp kakuwekwa kwenye kikaango ambako muda mwingi Moderator wa mdaharu anakuwa upande wa Muulizwa sasa nakaon ahaka katabia kamekuyja pia humu JF, Je Lengo lake ni lipi..
Kudraw attention ya kutongozwa au Kudraw attention ya kutongoza... Kuna mwingine amekuja na njia mpa ya Kutafuta Mchumba kwa kumsifia amtakaye na kutangaa kuwa yuko wapi mbona amechelewa ..
Je hii nayo ya kuwekwa kikaangoni ni njia nyingine ambayo Mpya ya Kutongoza au kutongozwa?
Mkuu mbona umetusahau na sisi wa maneno matupu?Ndio uanaume huo... Wengine wanatoa magari wengine wanahonga simu wengine wanakuweka kikaaangoni
Ndio maisha yalivyo mkuu
Hahaha Bila Shaka mkuu wazeee wa free p. Heshima kwao yaani hao maneno tuu hawatoi chochote ilq lazima mtu aelekee kiblaMkuu mbona umetusahau na sisi wa maneno matupu?
Free p ni nini Baba P??.?Hahaha Bila Shaka mkuu wazeee wa free p. Heshima kwao yaani hao maneno tuu hawatoi chochote ilq lazima mtu aelekee kibla
Bahati mbaya sana yupo anabembeleza mtoto,
Bola umekuja untetee mimi kuongea siwezagi ujue
Inapendeza kama uko njema.Bahati mbaya sana yupo anabembeleza mtoto,
Ila Manga ML Mimi mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuelewa sanaa..Bola umekuja untetee mimi kuongea siwezagi ujue
Daaaah aiseee..Inapendeza kama uko njema.
Pole sana kwa matokeo ya mda mchache ulio pita