Natafuta kazi
Member
- May 10, 2012
- 31
- 1
Habari wakuu,
naombeni msaada. nimeitwa kwenye interview BHC wamesema itakua ni written na pia discussion ya roles za hiyo kazi. naombeni mnipe angalau mwanga kuwa huwa inakuaje. plz plz nifumbueni macho wakuu. i ril need that job.
thank you.
Sasa hujasema hata kazi yenyewe tukusaidieje sasa? funguka then wadau watupie vyombo hapo...
jamani toeni msaada hata mimi wameniitamsaada plz?
So far ninavyojua kazi za Chancery Support officer zinachezea hapa. . . planning and organising diplomatic events, coordinating travel plogistics, setting up meetings; maintaining contact databases, taking minutes of meetings and drafting standard letters,
Maswali yatakuwa kwenye competence ya mtu kwenye hizo kazi. Uwezo wa kujiamini na good communication skills because hii ni kazi ambayo utakua unakutana na diplomats wakubwa kwenye vikao na unatakiwa ujue sawia wanachosema na kunote down.. .
Planning skills is another important skill you should have. . .
Nyingine ni uwezo wa kuwa smart, presentable, suti zikukae. . .kama huna mwili nenda gym ukipata kazi hii. . .thats all I know. . .kama umeipenda gonga like.
So far ninavyojua kazi za Chancery Support officer zinachezea hapa. . . planning and organising diplomatic events, coordinating travel logistics, setting up meetings; maintaining contact databases, taking minutes of meetings and drafting standard letters,
Maswali yatakuwa kwenye competence ya mtu kwenye hizo kazi. Uwezo wa kujiamini na good communication skills because hii ni kazi ambayo utakua unakutana na diplomats wakubwa kwenye vikao na unatakiwa ujue sawia wanachosema na kunote down.. .
Planning skills is another important skill you should have. . .
Nyingine ni uwezo wa kuwa smart, presentable, suti zikukae. . .kama huna mwili nenda gym ukipata kazi hii. . .thats all I know. . .kama umeipenda gonga like.
Habari wakuu,
naombeni msaada. nimeitwa kwenye interview BHC wamesema itakua ni
written na pia discussion ya roles za hiyo kazi. naombeni mnipe angalau
mwanga kuwa huwa inakuaje. plz plz nifumbueni macho wakuu. i ril need
that job.
thank you.
m2 wang wameku2mia feedback kwa njia gani email au cmu? Halafu interview lini?
walikuwa kwamba ni formal au informal interview??
Good guys,nawashukuru sana kwa mchango wenu.
Hongera sana mkuu wangu, na vipi umefikia wapi na imeendaje??