Wakuu eti zile nafasi za ajira chuo cha IFM zilizotangazwa na tume ya ajira mwez may mwaka huu wameutwa kwenye intview wk ijayo tar 30?
Nimepata taarifa kutoka katika chanzo ambacho sio cha kuaminika kivile,
kama kuna ukweli naomba kujulishwa waungwana.