Interview ifm

sirmudy

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2010
Posts
386
Reaction score
119
Wana jamii kama kuna mtu yeyote ana taarifa kuhusiana na interview kwa wale walioomba nafasi za kufundisha pale IFM atujuze tafadhali kwa nafasi walizotoa mwezi wa tano mwaka huu.
 
Wenzio washaitwa na saiv wapo wanasahihisha mitihani( haahaaa don't take it serious)
 
mzazi mm pia niliomba ifm na udom pia ila sielewi elewi
 
Kwa kweli kama wewe unaomba kuwa lecturer halafu unauliza majibu ya interview ndani ya JF, then sidhani kama unastahili kazi hiyo. Consider yourself out!!!
 
Kuna siku niliwaona pale chuo wamepanga folen wanaingia kwenye interview. Ni kama mwezi ushapita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…