Z Ze Maza Member Joined Nov 14, 2009 Posts 35 Reaction score 4 Sep 23, 2011 #1 Mhhhh jaman panel watu 21,nafasi internal auditor na assistant auditor.
BONGOLALA JF-Expert Member Joined Sep 14, 2009 Posts 16,508 Reaction score 11,897 Sep 23, 2011 #2 Wanakula posho hao interview ikiisha kila mtu ana bahasha
Perry JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 10,058 Reaction score 2,195 Sep 23, 2011 #3 Kwan we ulitakaje?
O Optimistic Soul JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 204 Reaction score 22 Sep 23, 2011 #4 hahahaa iyo ni presentation, inatakiwa uwe na presentation skills, lazima itakua kwenye hii serikali yetu, watu hawana kazi za kufanya, kama unaweza kupata watu 20 kwa wakati mmoja! kweli iyo onoraria imewaniwa.
hahahaa iyo ni presentation, inatakiwa uwe na presentation skills, lazima itakua kwenye hii serikali yetu, watu hawana kazi za kufanya, kama unaweza kupata watu 20 kwa wakati mmoja! kweli iyo onoraria imewaniwa.