MATEO GODFREY
Member
- Apr 7, 2014
- 36
- 56
Kila la heri mkuuWadau kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu kuitwa kwenye Interview za utumishi kwenye hizo nafasi zinazotaka watu 10 tu na waombaji ni 1760
Nilitaka kufaham kwenye Area kama hiyo kunawezakuwa na maswali ya namna gani
Maana sijawahi hudhulia Interview hata moja
๐๐๐๐hahhhh huyu jobless wa Mungu simuonagi ndo leo.Ngoja akajue umuhimu wa ushirikiano kwanzawizy kuna mteja wa wakandaji hapa, njoo upate msaada
Wadau kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu kuitwa kwenye Interview za utumishi kwenye hizo nafasi zinazotaka watu 10 tu na waombaji ni 1760
Nilitaka kufaham kwenye Area kama hiyo kunawezakuwa na maswali ya namna gani
Maana sijawahi hudhulia Interview hata moja
Kasema ndio zari limemuangukia sasa, kuanzia sasa lazima atakuwa active humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahhhh huyu jobless wa Mungu simuonagi ndo leo.Ngoja akajue umuhimu wa ushirikiano kwanza
๐๐๐๐๐Hahhhh lazima awe active ,nikipata muda nitampa detail zakuanzia akapate hata 20Kasema ndio zari limemuangukia sasa, kuanzia sasa lazima atakuwa active humu
Daaahh, kwamba lazima wakandaji wafanye yao...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh lazima awe active ,nikipata muda nitampa detail zakuanzia akapate hata 20
Wadau kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu kuitwa kwenye Interview za utumishi kwenye hizo nafasi zinazotaka watu 10 tu na waombaji ni 1760
Nilitaka kufaham kwenye Area kama hiyo kunawezakuwa na maswali ya namna gani
Maana sijawahi hudhulia Interview hata moja
๐๐๐๐ Inategemeana na course aliyosoma maana waliweka course nyingi sana kama 30Daaahh, kwamba lazima wakandaji wafanye yao...
Umesoma course gani mkuu?Wadau kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu kuitwa kwenye Interview za utumishi kwenye hizo nafasi zinazotaka watu 10 tu na waombaji ni 1760
Nilitaka kufaham kwenye Area kama hiyo kunawezakuwa na maswali ya namna gani
Maana sijawahi hudhulia Interview hata moja
Tembeeni na job description na majukumu ya TAEC, physics matter kwenye hii TAEC[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Inategemeana na course aliyosoma maana waliweka course nyingi sana kama 30
Tatizo la yeye kutokuwa active(online) wakati kashaomba muongozo napo inaboaU
Umesoma course gani mkuu?
Pamoja ngoja arespond nimpe pakusoma kidogoWritten:
-Maswali 4
-Muda dk 40
-Jibu short and clear, direct to the point, elezea kidogo ukiona kuna ulazima
-Marks za kufaulu ni 50, ila kuchaguliwa kwenda oral kutategemeana na ufauli wenu, unaweza ukapata 85 na usiitwe oral endapo walio wengi wakapata zaidi ya 85.
wizy kwenye area za kuconcentrate mshike mkono akapambane na baridi la CIVE
๐๐๐๐Hapo ndo anakwama sasaTatizo la yeye kutokuwa active(online) wakati kashaomba muongozo napo inaboa
Lazima aijue physics ya radiation vizuriTembeeni na job description na majukumu ya TAEC, physics matter kwenye hii TAEC
ThanksPSRS interview questions (written, pract & oral)
Huu ni uzi maalumu kwa ajiri ya kushare Maswali ambayo ulishawahi kukutana nayo katika Interview za UTUMISHI (PSRS) kwenye kada tofauti tofauti iwe ni Oral,pract au written.... Acha swali ulilokutana nalo ujibiwe hapa Unapokuwa unatoa maswali jitahidi kutaja kada husika.www.jamiiforums.com
NipoMATEO GODFREY unatafuta miongozo halafu unapotea mzee?