Moro sio jiji kubwa mkuuNafikiri la msingi ni usaili ungeendeshwa katika majiji makubwa yote, Arusha, Dom, Mza, Znz, Dar, Mbeya na Moro.
Mbona watu wachache sanaaa hzo post watu hua tunaenda tukishngiliaaDaah Mungu atusaidie kaka, TTCL post 15 watu walioitwa 700
aloooh
Yaani watu 700 wanalalamika hahahah! wana utani hawa.Mbona watu wachache sanaaa hzo post watu hua tunaenda tukishngiliaa
haya maombi yasemewek kwenye tovuti ya ajira kulee watayasikikia mkuuKwakweli mfumo wa Usaili unahitaji kufanyiw Reform kubwa sana, kuanzia ratiba hata maeneo ya usaili.Nadhani wahusika watakuwa wanasikia kilio cha Wananchi
mzee iliwahi fanyika ya TCAA post 10 walitwa wàtu 2000+Daah Mungu atusaidie kaka, TTCL post 15 watu walioitwa 700
Mkuu usiangalie nyuma yako kuna nani, wewe iangalie karatasi yako pasua 50% to above mengine yatajiset.Acha zako mkuu nani kalalamika nimesema tu idadi iliyopo,
Nadhani majibu kayapata. Angalia hizi za TPA- 0perations Officer (10) - watu 6,000+ wameitwaYaani watu 700 wanalalamika hahahah! wana utani hawa.