Mambo naona jamaa usingizi uligoma hahahaMbona unaifanya usiku ? Heri ungeifanya jioni jioni
Am hereYuko wapi?
MsameheAlie anzisha huu Uzi ni mvuta bangi mbichi
Muosha rungu sijaiacha ni signature yangu nilichofanya ni verse versa tuKwanini uliacha kutumia id ya muosha rungu?
Je kupitia interview unazofanya hapa jukwaani umefanikiwa kupata demu?
Du mtoto Wa kiume sina mashauzimkuu sijakutag kweli au mashauzi?
Hukuniambia
Wivu sunnah hasa kwa baby wakeShusssss!!! Acha wivu,!
Am very social toka chekechea ni rahisi sana kuchangamana Na watu kwa kuwa napenda jamiiOK,kitu gani kilikupelekea kuwa mtu wa intavyuu hapa JF,nini kilikuvutia kwenye hilo?
Ahsante,hapo kwenye chekechea pameniletea swali.Vipi kuhusu elimu yako?Am very social toka chekechea ni rahisi sana kuchangamana Na watu kwa kuwa napenda jamii
Sipendi kukasirika ovyo nataka kujenga Na kuvumbua furaha all the time
Happiness kwangu ni kama dhahabu kwa miner ndio maana nikaja Na interview ambazo lengo lake ni burudani zaidi ili tufahamiane Na kupunguza ufake at least kidogo
Am a form six leaver in third year economics degreeAhsante,hapo kwenye chekechea pameniletea swali.Vipi kuhusu elimu yako?
Pia huwa naajiriwa kwa mikataba mifupiSelf made entrepreneur ktk media and entertainment
Labda mtoto si liziki uyooKwanini anatumia id za kike?
Nifikishie salamu hizi kwake.
Usiandikie mate ilhali wino upooLabda mtoto si liziki uyoo