poa mkuu tunaomba utujuze nini kitakachoendelea hukondg zangu 2po 2nasubiri kuingia interview hapa ofisini kwao,msikate tamaa ambao hamjaitwa kwan wanaita kwa makundi,muda na cku tofauti.leo ni zamu ye2 2torial ass na cashier ambao wanamalizia kuitwa.
Ndg zangu 2po 2nasubiri kuingia interview hapa ofisini kwao,msikate tamaa ambao hamjaitwa kwan wanaita kwa makundi,muda na cku tofauti.leo ni zamu ye2 2torial ass na cashier ambao wanamalizia kuitwa.
Nashukuru kwa taarifa, ila sijakuelewa vizuri umesema kuwa leo ni zamu ya tutorial assistants, so ni wote au wengine wataitwa siku zitakazofuata? wewe uliomba kwennye college ipi mkuu?
ofisi zao ziko wapi?na chuo kipo wapi pia?
mkuu PAFKI tujuze utaratibu uliopo huko,hata post za TA wanaita kwa awamu au ndo wameshaita post za Ma TA wote?
vip interview ilikuwaje?
ndo wale wale, mnaitana kwa kujuana tu