Interview ya Mikka Mwamba na Millard Ayo

nitaisikiliza hii interview. hivi na producer Saidi Comorien yupo wapi siku hizi?
 
Dah kuna maneno ya Kiswahili kayatamka mi sijawahi kuyatumia kwenye maongezi toka nizaliwe.
 
Alikua producer sio msanii, ndo mana hakutaka kuonekana, nimemnukuu so now msanii?kwel hakuwai kufatwa na media hata one day, ila jamaa alikua noma sana. Enzi zile mzik ulivokua mziki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema kiswahili anashindwa kujieleza kwa upana wake anapungukiwa maneno lakini ana maana pana sana. And by the time media haikuwa ina deal sana na producers nk, hata akina master j walifahamika tu majina sio sura.

Hapa leo nikikuuliza produre Roy wa G records aliegonga beat kama mapozi, blublue, baridi kama hii ya enika, Aisha ya parklane na Chungwa ya Suma lee unaweza usimjue sura na wengi hawamjui mpk anafariki.
 
Aisee nashangaa naposikia watu wanasema walikuwa hawajui kama miika mwamba ni mthungu. Kuna picha zake fulani kipindi hiko ananyoa upara zilikuwa zinatumika ktk magazeti sana, mwanzoni mwa miaka ya 2000. kma sikosei hata seba alishawahi kumuhoji kipindi yupo redio uhuru, moja ya interview chache za Miikka Mwamba.
 
Sasa millard Ayo enzi hizo alikuwa kwao huko kishimundu, mjini kaja juzi. Mika magazeti hata ya kina shigongo yalikuwa yanaweka picha zake sana tu. Alikuwa anapenda kuvaa na miwani myeusi
 
Absolutely true!!!!

My own brand!!
 
Sasa millard Ayo enzi hizo alikuwa kwao huko kishimundu, mjini kaja juzi. Mika magazeti hata ya kina shigongo yalikuwa yanaweka picha zake sana tu. Alikuwa anapenda kuvaa na miwani myeusi
Hahaha long time sana. Asee haya maisha hakuna jipya kwakaweli,ni kama matukio ya juzi tu hapa kumbe ni zaidi ya miaka 15,ukiambiwa utoe historia yako kwa kipindi chote hiko ndani ya dk kadhaa umemaliza kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…