Wakubwa heshima mbele,
Nina mdogo wangu ambaye yuko ktk nafasi ya Project Coordinator, sasa nafasi ya bosi wake imetangazwa na anataka kusogea hatua moja mbele ili awe Meneja. Naombeni ushauri wenu wowote, maana jana ndo kapigiwa simu ili tumpe support.
Wenu ktk ujenzi wa Taifa.
Nina mdogo wangu ambaye yuko ktk nafasi ya Project Coordinator, sasa nafasi ya bosi wake imetangazwa na anataka kusogea hatua moja mbele ili awe Meneja. Naombeni ushauri wenu wowote, maana jana ndo kapigiwa simu ili tumpe support.
Wenu ktk ujenzi wa Taifa.