Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

Sorry mleta Uzi,nlichelewa kuingia huku.naomba umuulize uyoo jamaa Nan anafanya mzk WA ujanj ujanja
 
Kama ameongea ya kweli basi jamaa alikuwa royal sana
 
ndo maana nakupeendaaaaaaaa bureeee my dimpoz. watuuuuuacheeeeeee
 
Mkuu umeandika kwa hisia sana. Bila shaka ni shabiki ndaki ndaki wa Ommy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…