Introducing Kethi Kilonzo...like Father like Daughter!

Ab-Titchaz,
Kethi Kilonzo ni wa kwetu Upareni tena kule milimani SUJI kwa Wasabato.
Dukila Mwanamke mkali kwa Mbongo basi ni Mpare, basi naweza nikaamini maana huyu Dada ni mfupi hasa na huenda Kilonzo alipitia huko Ngulu-Suji wakati Chadiel Mgonja akiwa kiwembe wakapasiana (Hii Ijumaa Kuu imeanza kivyake na Jokes)
 
Wapare ni Wakamba kwa asili. Soma historia ya Wapare.Hata huko upareni kina Kilonzo nafikiri.
 
Mutula wanted to advertise the services of his daughter, he succeeded big-time.
 

 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…