Lakini kwa bahati mbaya wale wahuni wa ''Kusema na Kutenda'' a.k.a vijana wa The Hague wamemukalia vibaya kwa kuyapotosha makabila yao,lakini kwa hakika Amolo ni jembe la ukweli.Pia namshangaa Mudavadi alichomkataa Odinga sasa huko alikoenda kwa hao wahuni asitegemee atamshinda Uhuru,hizo ni ndoto,yeye anapiga hesabu kuwa atapita''katikati''yao wakati wakielekea kupigwa baridi kali la The Hague,ni sawa na fisi anayesubiri mkono udondoke.hata hivyo Mzee Moi alikuwa sahihi aliposema Kanu itatawala milele ona hiyo coliation ya akina Uhuru,Mudavadi si ni kanu ileile ya mzee Moi,chezee mzee wa Kabarak wewe...
SHERRIF ARPAIO,The kikuyu political machine will never allow a luo to become Kenya's next prez.
Mark my words!
AB Tichaz najiuliza akiwa rais itakuwaje furaha yako...lol
Mkuu Ab Tichaz. Heshima kwako mkuu.
Nimetosheka na maelezo yako jadi hapo mwisho wa picha ya pili. Wakati fulani kule Nairobi niliwahi kumuuliza mwendesha boda bada aliyenibeba kuhusu muunganiko huu unaoitwa sasa Uhuruto ili kuona mawazo yako. Kwa kweli utadhani mlifikiri pamoja. Jumla ya maneno yake yalikuwa "walidanganya sisi tukaingia vitani leo wanataka kudanganya sisi eti tuwe marafiki, wakati wa vita hatuoni wao wakibeba mishale" yaani wao Uhuruto. Ukweli sikumuuliza kama yeye ni kabila gani.
Upande wa Muunganiko wa pili ambao umeitwa Railonza sina maelezo ya kutosha zaidi ya umaarufu wa viongozi wao wakuu yaani bwana Raila mwenyewe na bwana. Kalonzo. Pale juu niliuliza asilimia za jumla ya watu toka Ukambani ili tujumlishe tuone je zitatosha kuwapiku muunganiko wa Uhuruto? kama itatokea lazima kwa kikuyu na kalenjini wapigie kura Uhuruto?
Lingine muunganiko wa Railonzo una vyama vingine kumi na vine vikiwemo vya Charity Ngilu na wengineo. Swali ni je kama ikitojea lazima kwa kila tu wa viongozi wa vyama hivi wapigie muungano wa Railonzo watasaidia kuwashinda ule muungano wa pili kwa kiasi gani?
Jambo jipya ninaloliona safari hii kwa bwana Raila ni kuwa ni kama kawa mtulivu zaidi maana zile mbwebwe zake tulizozioea ambazo zimeleta mabadiliko makubwa katika siasa za Kenya za Kibaki Tosha, Katiba Mpya, Chura kugombea maji na nyingine nyingi naona kama hanazo. Je, wafikiri ni kwa nini ? au ni kwa sababu anajua mwenyewe upepo unavyomwendea kwa kuwa waswahili tunasema " ukisikia mwanaume hakoromi ujue yuko macho". Mungu ibariki Kenya.
Ndugu, the new generation of voters is increasingly unhappy with the tribal alliance thing.ab tichaz i respect your enthusiasm for a raila presidency but do not let it cloud your judgement. i have said here many times Kenya votes on tribal lines even a standard 2 kid Knows that, as much as you would want to ignore this its the bitter truth. kikuyu votes from uhuru kenyatta are more than the combined luo(raila) and kalonzo( votes), add the kalenjin votes lets say ruto just get 50% and mudavadi atleast 20 % of the Luhya vote. it does not matter what the resst of kenya votes are simply a raila-kalonzo starts with an disadvantage
dadangu nakupenda sana. but you are living in utopia. a kenyan an go to live in mars and come back still vote for his tribesman,simply this will not go way soon its wishful thinking and i want ab tichaz to deny this if its not true.. as with all politics its the numbers that matter. HAKUNA KITU KINGINE JUST NUMBERS just do your calculation and see. you know you dont know kenya very well, the new generation you are talking about still is affected by tribalism this will never change overnight. to you uhuru and ruto are criminals but to a kikuyu or kalenjin they are heroes,remember hating a person does not change anything. remember the past US election how obama won, he won simply because he had an head-start backing from states with large electoral votes, like california that made it hard for romney to catch up in all only afew swing states remained,but for romney to get there it was harder than obama. OBAMA HAD A SHORTER ROUTE THAN ROMNEY BECAUSE OF THE ELECTORAL VOTES. same case with mudavadi-uhuru-ruto they have a shorter route to presidency because they have an head start in numbers. they just need a few votes lets say 25% from the swing counties to win as opposed to raila and kalonzo whose route is much longer, they need every voteNdugu, the new generation of voters is increasingly unhappy with the tribal alliance thing. Machafuko ya last election yamekua kama funzo kwao, it is a shame for Kenya to go through that, just like any bananian republic (french countries mtanisamehe kwa maneno haya. ha ha ha ha) Zaidi, the alliance between Ruto and Uhuru is making some of the Kale and Kyux feel uncomfortable because of their ICC pending cases. It was important for them to establish their innocence before they start their campaign. If at least their respective allies were clean guys tungeelewa, but surprisingly the two accused tena ndio wakaungana. I wouldn't be so fast saying that Railonzo starts with a disadvantage as Uhuruto looks like a gang of criminals, even to their tribe mates. But binafsi ningekua mkenya ningempa kura yangu Mama Martha #JustSaying
dadangu nakupenda sana. but you are living in utopia. a kenyan can go to live in mars and come back still vote for his tribesman,simply this will not go way soon its wishful thinking and i want ab tichaz to deny this if its not true.. as with all politics its the numbers that matter. HAKUNA KITU KINGINE JUST NUMBERS just do your calculation and see. you know you dont know kenya very well, the new generation you are talking about still is affected by tribalism this will never change overnight. to you uhuru and ruto are criminals but to a kikuyu or kalenjin they are heroes,remember hating a person does not change anything. remember the past US election how obama won, he won simply because he had an head-start backing from states with large electoral votes, like california that made it hard for romney to catch up in all only afew swing states remained,but for romney to get there it was harder than obama. OBAMA HAD A SHORTER ROUTE THAN ROMNEY BECAUSE OF THE ELECTORAL VOTES. same case with mudavadi-uhuru-ruto they have a shorter route to presidency because they have an head start in numbers. they just need a few votes lets say 25% from the swing counties to win as opposed to raila and kalonzo whose route is much longer, they need every voteNdugu, the new generation of voters is increasingly unhappy with the tribal alliance thing. Machafuko ya last election yamekua kama funzo kwao, it is a shame for Kenya to go through that, just like any bananian republic (french countries mtanisamehe kwa maneno haya. ha ha ha ha) Zaidi, the alliance between Ruto and Uhuru is making some of the Kale and Kyux feel uncomfortable because of their ICC pending cases. It was important for them to establish their innocence before they start their campaign. If at least their respective allies were clean guys tungeelewa, but surprisingly the two accused tena ndio wakaungana. I wouldn't be so fast saying that Railonzo starts with a disadvantage as Uhuruto looks like a gang of criminals, even to their tribe mates. But binafsi ningekua mkenya ningempa kura yangu Mama Martha #JustSaying
Kaka, unapendwa pia, but you are talking generalities. Msemo huo kuhusu wakenya is simply not true. Ingekua people vote only for their tribemates in Kenya basi scores za elections zingekua tofauti sana na zinavo tokea. I know a group of Nandis who think that Ruto should simply step down and any attempt from him to represent kenyans (any tribe) should be blocked for security reasons. But pia najua watu ambao wanampenda just because he is from their tribe. Tuondokane na generalities kwanza.dadangu nakupenda sana. but you are living in utopia. a kenyan can go to live in mars and come back still vote for his tribesman,simply this will not go way soon
Samahani, sijasema kabisa kua Uhuru and Ruto are criminals, I wouldn't dare. NImesema to some, that coalision looks like a gang of criminals, and it was echoed by international media. There is a propaganda to push forward that perception. Ndio maana nimesema, ilikua muhimu wahakikishe they have clean records before they start campaigning, or at least make alliances with other guys with cleaner records.its wishful thinking and i want ab tichaz to deny this if its not true.. as with all politics its the numbers that matter. HAKUNA KITU KINGINE JUST NUMBERS just do your calculation and see. you know you dont know kenya very well, the new generation you are talking about still is affected by tribalism this will never change overnight. to you uhuru and ruto are criminals but to a kikuyu or kalenjin they are heroes,remember hating a person does not change anything.
Again, hizi hesabu zako zinaenda na premise kua the number of people in a tribe = the number of people who will vote for so or so. Kuna ukweli ndani yake, but not 100% of people vote on a tribal basis. Some people vote for "peace", some vote "programs", some vote "continuity", some vote "economic interests" etc. Hao wapo na hao ndio equivalent ya swing state huku.remember the past US election how obama won, he won simply because he had an head-start backing from states with large electoral votes, like california that made it hard for romney to catch up in all only a few swing states remained,but for romney to get there it was harder than obama. OBAMA HAD A SHORTER ROUTE THAN ROMNEY BECAUSE OF THE ELECTORAL VOTES. same case with mudavadi-uhuru-ruto they have a shorter route to presidency because they have an head start in numbers. they just need a few votes lets say 25% from the swing counties to win as opposed to raila and kalonzo whose route is much longer, they need every vote
ab tichaz i respect your enthusiasm for a raila presidency but do not let it cloud your judgement. i have said here many times Kenya votes on tribal lines even a standard 2 kid Knows that, as much as you would want to ignore this its the bitter truth. kikuyu votes from uhuru kenyatta are more than the combined luo(raila) and kalonzo( votes), add the kalenjin votes lets say ruto just get 50% and mudavadi atleast 20 % of the Luhya vote. it does not matter what the resst of kenya votes are simply a raila-kalonzo starts with an disadvantage