Ayoub hyu huyu Lakirane au ?! ndoto za mchana sio nzuri.....tafuta msosi ule, unaonekana njaa imekukamata balaaa.Sijui ni nini hiki ila kila mda thoughts zinakuja eti simba ameshinda kuingia nusu. Wametoka 1-0 then matuta akashinda ayoub katoa mikwaju miwili.....
Huu mpira addictive sana! #nguvu_moja
Siku ile kwa Mkapa wangetoa hata draw tu, kulikuwa na % fulani za kuvuka daraja.... Ila mhm..Hapana mkuu, najua simba kwa alahly ni ngum kuchomoa... ila kila nikikaa kidogo tu mawazo ya simba kushinda hayoo kichwani...
HahahahahaHakuna wingi wa nguvu.... Nguvu ni moja tu💯💯🤣
Hahahahaha..upumzikeBora ifike tu niachane na haya mawazoo.
Hahahahaha...raha ya soka iko muda ..kabla ya mchezo...wakati wa mchezo na baada ya mchezoKwakweli it's too much, hizi timu zitatuua mashabiki🤣
Utopolo kindakindaki naunga MKONYO hoja kuwa Makolokolo anaingia nusu fainali CAFCL 2024 [emoji1666]Kwakweli it's too much, hizi timu zitatuua mashabiki[emoji1787]