ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Maoni yako ni mhimu wakati mechi inachezwa utasakwa kwa gharama yoyoteYani hutaniona humu ng'oooooo
Hv nyie si ndo robo ya kwanza, af mbona msimu jana tulifika na timu ilikua mbovu zaid? Hizi hatua zinawenyewe yanga game ya kwanza walikua wanawasoma tu, mtaogelea vyuma vingi tu kesho.Simba kuishia robo fainali ni kawaida. hata haijulikani wamefikaje huku kwa wababe na timu kimeo. Al Ahly wanacheza kimbinu na kiakili sana kesho watafunga goli moja tu kisha watajiangusha kwa dkk zote zinazobaki. Mpira utaboa sana.
Mechi ya uto ndo itakuwa kali piga nikupige!! Goli pekee la mchezo atafunga Mzize!
Makolo mna advantage , uto tunacheza saa 3 usiku, nyie saa 5, uto tukishinda goli 3 walizoahidi wachezaji ili kujipatia kitita chao cha mil 345 , makolo watapindua meza na kuichakaza Al Ahly 5-0 ili kumkamua kanjibhai alieleta masihara kwenye mpira na ahadi hewa ya danganya toto ya mil 500 eti Simba wakishinda njaa huko Cairo!!!πHv nyie si ndo robo ya kwanza, af mbona msimu jana tulifika na timu ilikua mbovu zaid? Hizi hatua zinawenyewe yanga game ya kwanza walikua wanawasoma tu, mtaogelea vyuma vingi tu kesho.
Amkaa unaelekea kujisadia mwenyeweHapana mkuu, najua simba kwa alahly ni ngum kuchomoa... ila kila nikikaa kidogo tu mawazo ya simba kushinda hayoo kichwani...
Nitarusha jiwe juu ya bati lako ili utoke nnje Mtani [emoji28]Yani hutaniona humu ng'oooooo
π€£ π€£ π€£Nitarusha jiwe juu ya bati lako ili utoke nnje Mtani [emoji28]
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwa kesho kwa mara ya kwanza sitakuwepo jukwaani...tutaonana asubui ya trh 6 au baada ya wiki itategemea kudra za mwenyezi Mungu...Maoni yako ni mhimu wakati mechi inachezwa utasakwa kwa gharama yoyote
Mnamfunga nani hizo goli 3? Emb Acha kujifariji Mamelodi washamaliza mechi kitambo mbona, game ya kwanza ilikua fitness challendge kwao ndo maana possession waliwazidi. Nyie mkaingia mtegoni kufikiri mmewaweza π€£, bro hata kama wote kusipo fuzu lazima utopolo apoteze kwa goli nyingi kuliko mnyama. Yule kocha anaakili sana kasha muwin gamondi kiakili hv ww unafikiri mamelodi wachovu kias hicho? Ile droo mlipewa kimtego tu...Makolo mna advantage , uto tunacheza saa 3 usiku, nyie saa 5, uto tukishinda goli 3 walizoahidi wachezaji ili kujipatia kitita chao cha mil 345 , makolo watapindua meza na kuichakaza Al Ahly 5-0 ili kumkamua kanjibhai alieleta masihara kwenye mpira na ahadi hewa ya danganya toto ya mil 500 eti Simba wakishinda njaa huko Cairo!!!π