brobiz JF-Expert Member Joined Feb 27, 2012 Posts 619 Reaction score 838 Oct 3, 2014 #1 Waungwana kwa aliyekutana na tatizo ttz hili tafadhali aniambie alitatua vp ni mda mrefu ss kila nikisubmit code ya mpesa majibu yanakuwa ivyo na kila nikipiga namba yao ya help desk iko busy msaada wenu wadau niliomba special prog.ya udom
Waungwana kwa aliyekutana na tatizo ttz hili tafadhali aniambie alitatua vp ni mda mrefu ss kila nikisubmit code ya mpesa majibu yanakuwa ivyo na kila nikipiga namba yao ya help desk iko busy msaada wenu wadau niliomba special prog.ya udom
Isack B Member Joined Aug 21, 2014 Posts 73 Reaction score 13 Oct 3, 2014 #2 Ukisubmit sasa itakubali kwani wameifungua baada ya kuongeza muda wa kuomba mkopo kwa muda wa majuma mawili kuanzia tarehe 29/09/2014. Namimi nilikuwa na tatizo hilo lakini sasa limeisha...
Ukisubmit sasa itakubali kwani wameifungua baada ya kuongeza muda wa kuomba mkopo kwa muda wa majuma mawili kuanzia tarehe 29/09/2014. Namimi nilikuwa na tatizo hilo lakini sasa limeisha...
brobiz JF-Expert Member Joined Feb 27, 2012 Posts 619 Reaction score 838 Oct 3, 2014 Thread starter #3 Isack B said: Ukisubmit sasa itakubali kwani wameifungua baada ya kuongeza muda wa kuomba mkopo kwa muda wa majuma mawili kuanzia tarehe 29/09/2014. Namimi nilikuwa na tatizo hilo lakini sasa limeisha... Click to expand... Shukran mkuu let's me do once again!
Isack B said: Ukisubmit sasa itakubali kwani wameifungua baada ya kuongeza muda wa kuomba mkopo kwa muda wa majuma mawili kuanzia tarehe 29/09/2014. Namimi nilikuwa na tatizo hilo lakini sasa limeisha... Click to expand... Shukran mkuu let's me do once again!