Investment Company its a real deal???

Investment Company its a real deal???

Ibang

Senior Member
Joined
Dec 15, 2011
Posts
121
Reaction score
23
Wakuu katika pita pita zangu nilikutana na jamaa mmoja ambaye ni investment banker ambaye alishawahi kuja hapa kwetu the guy told be katika biashara ambayo watu wengi huwa wanaidharau ni investment business iwe angel investment business au venture investment business
Akazidi kusema kwa africa kwa nchi zinazoendelea ni moja ya bonge la biashara ambayo after 10-15 inaweza kukufanya ukawa warren buffet wa africa
Akaenda mbali zaidi akasema kuwa cha msingi ni kujua wapi pa ku invest na ni kampuni gani ya kuinvest
Akatoa sector moja ya ku invest akasema ni kwenye constructions na kwenye infrastructures na sehemu ambazo amesema ni choo cha kike ku invest akasema ni kwenye makampuni ya ndege
So nikakaa nikafikiria nikasema investment company its a real deal???
Nikawaza jamaa zangu humu kina komandoo, entreprenuer, kuwa they can have something to share kuhusu hii business....
By the way
Honestly kilichoni tregger emotions mpaka kuandika hii jamaa akasema ferrarri nyingi europe, middle east, na ma estate mengi unayoyaona europe middle east sio ya ma Ceo wa kampuni wala nini ni ya ma investors wa hayo makampuni...
Je ni real deal kwa Tanzania yetu inayoendelea na Africa kwa ujumla??
 
Mkuu ni kweli biashara za invstment ndo Mpango mzima ni si kwa Tanzania tu bali Duniani kote, Tatizo linakuja kwa sisi wenyewe kutaka kufanya biashara zinazo toa faida baada ya masaa kumi na moja, UNAANZA BIASHARA LEO JIONI TIYALI UNA FAIDA, ndo biashara tunazo penda hizo,

Long term investment za kutengeneza faida baada ya hata miaka 20 ijayo hatuzipendi kabisa, na ishu nyingine mara nyingi sana Investment za aina hiyo zinahitaji Mitaji mikubwa sana na mpaka sasa mabenki yetu hayako tiyali kufainance miradi ya muda mrefu, MABENKI WANAKIMBILIA KUFAIANCE BIASHARA ZA KUAGIZA SIMU KUTOKA CHINA,
 
Mkuu ni kweli biashara za invstment ndo Mpango mzima ni si kwa Tanzania tu bali Duniani kote, Tatizo linakuja kwa sisi wenyewe kutaka kufanya biashara zinazo toa faida baada ya masaa kumi na moja, UNAANZA BIASHARA LEO JIONI TIYALI UNA FAIDA, ndo biashara tunazo penda hizo,

Long term investment za kutengeneza faida baada ya hata miaka 20 ijayo hatuzipendi kabisa, na ishu nyingine mara nyingi sana Investment za aina hiyo zinahitaji Mitaji mikubwa sana na mpaka sasa mabenki yetu hayako tiyali kufainance miradi ya muda mrefu, MABENKI WANAKIMBILIA KUFAIANCE BIASHARA ZA KUAGIZA SIMU KUTOKA CHINA,

Mkuu hapo nimekuelewa je si kuna investment za muda mfupi?? After three up to five years inaweza kuanza kukulipa?
Hii huoni kuwa ni safi uzuri wa biashara hii kufilisika kwako ni asilimia chache sana....
 
Wakuu katika pita pita zangu nilikutana na jamaa mmoja ambaye ni investment banker ambaye alishawahi kuja hapa kwetu the guy told be katika biashara ambayo watu wengi huwa wanaidharau ni investment business iwe angel investment business au venture investment business
Akazidi kusema kwa africa kwa nchi zinazoendelea ni moja ya bonge la biashara ambayo after 10-15 inaweza kukufanya ukawa warren buffet wa africa
Akaenda mbali zaidi akasema kuwa cha msingi ni kujua wapi pa ku invest na ni kampuni gani ya kuinvest
Akatoa sector moja ya ku invest akasema ni kwenye constructions na kwenye infrastructures na sehemu ambazo amesema ni choo cha kike ku invest akasema ni kwenye makampuni ya ndege
So nikakaa nikafikiria nikasema investment company its a real deal???
Nikawaza jamaa zangu humu kina komandoo, entreprenuer, kuwa they can have something to share kuhusu hii business....
By the way
Honestly kilichoni tregger emotions mpaka kuandika hii jamaa akasema ferrarri nyingi europe, middle east, na ma estate mengi unayoyaona europe middle east sio ya ma Ceo wa kampuni wala nini ni ya ma investors wa hayo makampuni...
Je ni real deal kwa Tanzania yetu inayoendelea na Africa kwa ujumla??
Asante sana mku kwa wazo zuri sana, kidogo mm sijaelewa na pengine ni maana halisi ya hizi Terminology za kibiashhara, navojua mm ma investors km hao uliowataja wapo tena wengi tu may be most of them wana operate informally mfano Angels wapo wengi mitaani ila wakwetu ni wadogo wadogo kwa mitaaji na vile vile na tafiti iliofanywa miaka ya 2004 inaonyesha kuwa Tanzania pana VC (venture capitalist) wasio pungua 21,,

Pili kwa uwelewa wangu Investment ni kitendo cha uwekezaji aidha kwa muda mfupi, wa kati, mrefu kwa ufupi hata aiyejenga guest house ni investment, unawekeza resources leo ili baada ya hapo upate return/kipato kwa kutofautisha na trading ambacho unanunua ndicho hichohicho utakiuza, hata dala dala unawekeza. naomba munielimishe kama ni tofauti
 
Mkuu Ibang ni kweli haya unayoyasema, lakini mfumo wetu wa soko la uwekezaji (DSE) pamoja na vyombo husika kama Mamlaka ya usimamizi wa masoko ya hisa (TCMA) viko nyuma sana. Pili sidhani kama terminology ya kwamba uwekezaji katika soko la usafiri wa anga ni (choo cha kike),Hapana! Utakubaliana nami umeona ongezeko la makampuni ya ndege kwa Afrika hivi karibuni, ujengwaji na upanuzi wa miundo mbinu kwa maana ya viwanja vya ndege, hata hivi karibuni kampuni maarufu ya usafiri wa anga kwa bei nafuu ijulikanayo kama Easy jet wametangaza kuja Afrika kwa kasi wakiamini ndio sokoo pekee lenye matumaini. Hao aliokutajia wamiliki wa mali hizo kama magari ya kifahari na majumba ni wawekezaji (investors) ila ukichunguza zaidi kwa ndani, wao ndio waanzilishi wa hizo kampuni walizo wekeza. Major shareholder, kampuni zao ndio zimeuza share hivyo kujiongezea mitaji yakibiashara.
 
Asante sana mku kwa wazo zuri sana, kidogo mm sijaelewa na pengine ni maana halisi ya hizi Terminology za kibiashhara, navojua mm ma investors km hao uliowataja wapo tena wengi tu may be most of them wana operate informally mfano Angels wapo wengi mitaani ila wakwetu ni wadogo wadogo kwa mitaaji na vile vile na tafiti iliofanywa miaka ya 2004 inaonyesha kuwa Tanzania pana VC (venture capitalist) wasio pungua 21,,

Pili kwa uwelewa wangu Investment ni kitendo cha uwekezaji aidha kwa muda mfupi, wa kati, mrefu kwa ufupi hata aiyejenga guest house ni investment, unawekeza resources leo ili baada ya hapo upate return/kipato kwa kutofautisha na trading ambacho unanunua ndicho hichohicho utakiuza, hata dala dala unawekeza. naomba munielimishe kama ni tofauti
no mkuu hapa sie tulikuwa tunaongelea mfano mtu ana kampuni yake anataka capital anaenda kwenye nvestment company na proposal yake then ile kwa masaaa wa ile proposal kampuni inaamua kumpa capital sema katika stage ya kwanza ndio tunaita angel investors yaani wale ma investor wanaotoa capital katika stage ya mwanzo ya biashara na mara nyingi mitaji inakuwa midogo na kwa wale ma ventures investors nii wale biashara imeshakua sasa unataka ku expand unataka capital kubwa ya ku expand biashara yako ndio hawa wana appear (NAKUBALI KUSAHIHISHWA)
sasa sie mkuu hapa tulikuwa tunaongelea hii kampuni ya namna hii investment company kwa ajili ya ku invest kwenye makampuni madogo madogo yanayoanza as angel investors then tunakuwa both angels and ventures investors
nimeongea according na definition yangu wa hizi terminology
 
Mkuu Ibang ni kweli haya unayoyasema, lakini mfumo wetu wa soko la uwekezaji (DSE) pamoja na vyombo husika kama Mamlaka ya usimamizi wa masoko ya hisa (TCMA) viko nyuma sana. Pili sidhani kama terminology ya kwamba uwekezaji katika soko la usafiri wa anga ni (choo cha kike),Hapana! Utakubaliana nami umeona ongezeko la makampuni ya ndege kwa Afrika hivi karibuni, ujengwaji na upanuzi wa miundo mbinu kwa maana ya viwanja vya ndege, hata hivi karibuni kampuni maarufu ya usafiri wa anga kwa bei nafuu ijulikanayo kama Easy jet wametangaza kuja Afrika kwa kasi wakiamini ndio sokoo pekee lenye matumaini. Hao aliokutajia wamiliki wa mali hizo kama magari ya kifahari na majumba ni wawekezaji (investors) ila ukichunguza zaidi kwa ndani, wao ndio waanzilishi wa hizo kampuni walizo wekeza. Major shareholder, kampuni zao ndio zimeuza share hivyo kujiongezea mitaji yakibiashara.
so wataka kuniambia kuwa mfano kampuni iliyowekeza kwenye lets say airline ndio waanzilishi wa hizo airlines hapo sijakupata mkuu nifafanulie tafadhali
 
so wataka kuniambia kuwa mfano kampuni iliyowekeza kwenye lets say airline ndio waanzilishi wa hizo airlines hapo sijakupata mkuu nifafanulie tafadhali

Nilikua namaanisha hivi investors unaosema wanamiliki fortunes kubwa na sio CEO's. Ni kwamba ukichunguza utakuta wao ndio waanzilishi na owners wa kampuni hizo eg; Sam Walton wa Walmart, Warren Buffet wa Hathway,Bill Gates wa Microsoft, wanakua na stake kubwa zaidi niseme.
 
Back
Top Bottom