Invisible nakukumbusha

Preta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2009
Posts
24,320
Reaction score
18,852
Mkuu ulituahidi kuwa utarudisha chat room alhamis.....nilikumbuka lakini nikajua utakua unamalizia malizia kuirekebisha.....na pia shughuli za uchaguzi zimepungua kidogo.....na week end ndio hii lazima tuwasiliane kupitia chat rum.....pleeeeeez :couch2:
 
Kweli mkuu we missed the chat room alot please do ze nidiful:hail:
 

Haujambo mtoto mzuri mimi kumiss wewe, vere important, aisee nimemiss ka chat rum Invisible plz do the nidful
 
Sawa Preta nakumbuka ntairudisha sasaivi



i wish aseme hivo
 
Preta hebu mpigie simu bana. Yani anatunyima ile kitu yetu ya ku do the needful bana.
 
preta... mgongo uko wapi?
 
Preta naona sijui huyo binti kaficha nini huko hebu mwambie ajaribu ku-stretch miguu yake tuone itakuwaje:smile-big::bowl::bowl:
 
Preta kila nikiangalia hiyo picha najikuta natenda dhambi bila kukusudia
 
Preta mbona unabana kama chama cha mafisadi? Achia!!
 
Ngoja mpaka jeikei aapishwe ndipo turudi kwenye viambaza vyetu kutokeana
 
We're working on something NEW na si ile ya zamani!

Nakumbuka SANA zaidi ya mnavyofikiria; na vitu vizuri tukivitoa kwa kukurupuka tutaharibu.

Akiapishwa rasmi Mhe. Lipumba kama rais wa Tz hiyo kesho basi tutahakikisha kila kitu kinaenda sawa. Au tuilete mpya kwa namna ilivyo mtavumilia bugs ndogondogo?
 

Something better than nothing....
 

Senksi Invizibo something is better than nothing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…