Anwani yako ulipo
To Whom It May Concern
Ministry of Home Affairs
Immigration Department
Passport control office
Dar es Salaam
Dear sir/ Madam
Re: Application for Tanzanian Passport for Kingwendu
Kindly refer to underlined caption above.
Kingwendu Mwamlima is my son aged 3 years, with great honor I would like to submit his application for Tanzanian passport. At the moment am doing boxes in US at some point I would like my family to visit me in the US. As one of the requisite for visa inquiry Kingwendu will need a Tanzanian passport.
With this application I have attached relevant copies of my passport to support the application process.
Sincerely yours
MR Kibakuli Maharagwe
Hapo mzee unaweka na copy za passport yako halali, jamaa ajaze form na kulipia 50,000 atachukuliwa alama za vidole na atapewa passoprt sawa mazeee....wabongo mnapenda sana dezo wewe ulipataje yako? ama ulitafutiwa? usije uliza visa atapataje lol
nina rafiki yangu dar es salaam ambaye anatafuta passport kwa vile anategemea kunitembelea mwezi wa saba huku nilipo nje ya bongo,sasa kule uhamiaji anatakiwa aambatanishe barua ya mwaliko,naomba mwenye idea na jinsi ya kudraft barua kama hiyo na mambo ya muhimu ya kuandika au kama kuna mtu ana copy ya barua ya aina hiyo anisaidie!
thanks alot!
Inashangaza. Hivi ni kweli kuna umuhimu gani wa invitation letter ili kupata passport ya TZ? Passport ni haki ya kila TZ citizen.
Hapa inawezekana kabisa kuna mambo mawili yamechanganywa (Visa na Passport). Passport huwa hahihitaji barua ya mwaliko ila kuna swali la kizushi linalouliza kuwa 'KWA NINI UNAHITAJI PASSPORT' ila kama unahitaji visa ndio mambo ya barua ya mwaliko, kama ni kwa ajili ya masomo utahitajika admision letter n.k
nina rafiki yangu dar es salaam ambaye anatafuta passport kwa vile anategemea kunitembelea mwezi wa saba huku nilipo nje ya bongo,sasa kule uhamiaji anatakiwa aambatanishe barua ya mwaliko,naomba mwenye idea na jinsi ya kudraft barua kama hiyo na mambo ya muhimu ya kuandika au kama kuna mtu ana copy ya barua ya aina hiyo anisaidie!
thanks alot!
Anwani yako ulipo
To Whom It May Concern
Ministry of Home Affairs
Immigration Department
Passport control office
Dar es Salaam
Dear sir/ Madam
Re: Application for Tanzanian Passport for Kingwendu
Kindly refer to underlined caption above.
Kingwendu Mwamlima is my son aged 3 years, with great honor I would like to submit his application for Tanzanian passport. At the moment am doing boxes in US at some point I would like my family to visit me in the US. As one of the requisite for visa inquiry Kingwendu will need a Tanzanian passport.
With this application I have attached relevant copies of my passport to support the application process.
Sincerely yours
MR Kibakuli Maharagwe
Hapo mzee unaweka na copy za passport yako halali, jamaa ajaze form na kulipia 50,000 atachukuliwa alama za vidole na atapewa passoprt sawa mazeee....wabongo mnapenda sana dezo wewe ulipataje yako? ama ulitafutiwa? usije uliza visa atapataje lol
Kupata passport uhamiaji haiihaji invitation letter. yoyote. Kama aliaambiwa hivyo labda ilikuwa wanamtaka atoe rushwa.
Kama angekuwa anatafuta visa, hapo sawa. Au mzee ulikuwa una maana ya visa??
nina rafiki yangu dar es salaam ambaye anatafuta passport kwa vile anategemea kunitembelea mwezi wa saba huku nilipo nje ya bongo,sasa kule uhamiaji anatakiwa aambatanishe barua ya mwaliko,naomba mwenye idea na jinsi ya kudraft barua kama hiyo na mambo ya muhimu ya kuandika au kama kuna mtu ana copy ya barua ya aina hiyo anisaidie!
thanks alot!
Nadhani ukipita au akiomba kwa njia halali passport inaweza kuchukua mwaka mzima hajapata maana hao watu sijui hata nisemeje kwa kweli,ila kama unataka shortcut inaweza kutoka kwa one day na hata wasitake hiyo barua.....Yangu ni hayo tu!!