Kwanza,nimempa like ili kupush ajenda...πππAcha nireply chochote walau upate hata comment kwenye uzi wako ndgu kolowizard.
Makolo wenzio wameutosa uzi wako.
Cc Kalpana
OKW BOBAN SUNZU
Njoo mupush ajenda ya kolo mwenzenu.
halafu mfundishe utani wa jadi ataaibika siku nyengineKwanza,nimempa like ili kupush ajenda...πππ
ππππππhalafu mfundishe utani wa jadi ataaibika siku nyengine
Lakini mlianzisha wenyewe, tunacheza shirikisho lakini tunashika nafasi ya saba kwenye rank ya CAF.Kumbe ndo kauli mbiu ya msimu wenu huu...vichaka vitafyekwa?? Vichaka vipi hivyo? Hii nayo kali kutoka utopoloni
Ukweli kabisa..angalia idadi ya nyuzi humu.Acha nireply chochote walau upate hata comment kwenye uzi wako ndgu kolowizard.
Makolo wenzio wameutosa uzi wako.
Cc Kalpana
OKW BOBAN SUNZU
Njoo mupush ajenda ya kolo mwenzenu.