Ipad Naitupa Hiyo

Onyo siku hizi kuna katabia unauziwa watu wanarudi tena polisi wakiripoti wameibiwa.
mchezo huu ulikuwa kwenye magari na simu.

hakikisha mnaenda polisi kuandikishana ili ikitokea polisi ndio kijumbe
 
Wanaume tunapungua kwa kasi sana! Yani mpaka walio enda mbele tunao amini wamestaharabika bado wana akili kuliko vishandu wa bodaboda[emoji23][emoji23][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…