INAUZWA Ipambe nyumba yako na home appliances nzuri kwa bei nafuu kutoka kwetu

Android tv ndo ya kwanza kuwa launched and then ikaja google tv, kwa lugha nyepesi google tv ni upgrade ya android tv

Google tv inakupa personalized features while android tv haikupi hio option ndo utofauti uliopo
google tv ina play store ambayo unaweza ku download app na ku install?
 
Friji mnazo brand gani zaidi ya Hisense? Halafu naomba kujua kama kuna friji feki za Hisense madukani. Hii ya kwangu nilinunua ikaanza kusumbua tokea wiki ya kwanza na mafundi wamekuja zaidi ya mara 6 hadi warranty inaisha lakin bado friji ni mbovu inamwaga maji chini nimeamua kuiacha kama ilivyo.

Hisense ni brand mbovu sana kwa upande wa friji.
 
Bruhm, boss, lg, mr uk n.k
Hisense pia ni nzuri inategemea katika friji mia mtu anazo agiza tano kati ya hizo utakuta ni mbovu. Wakati unanunua unakutana na hizo mbovu inakua ni bahati

Lakin pia kuna brand za hisense ni fake na unapewa mpaka warranty lakin original hio ndo changamoto iliyopo sokoni.
 
Hisense sinunui tena. Haiingii akilini friji brand new inahitaji fundi ndani ya wiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…