Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Wana jukwaa JF na wizara husika ya mazingira
Napendekeza ipandwe miti pembezoni mwa mto Mpiji kuanzia daraja linalotengganisha Kibaha na Ubungo hadi Mbweni baharini katika pande zote zinazotenganisha Kinondoni na Mapinga, Bagamoyo ili kutunza mazingira ambayo yanaharibiwa kwa kasi kutokana na shughuli za kibinadamu pampoja na majenzi ya makazi
Napendekeza ipandwe miti pembezoni mwa mto Mpiji kuanzia daraja linalotengganisha Kibaha na Ubungo hadi Mbweni baharini katika pande zote zinazotenganisha Kinondoni na Mapinga, Bagamoyo ili kutunza mazingira ambayo yanaharibiwa kwa kasi kutokana na shughuli za kibinadamu pampoja na majenzi ya makazi