Anza na mim🤒Kama sitaki kuanza na mwamba??.... 🙄
Mwamba katika mambo yake yale🤣🤣🤣
Kunawatu watakuambia ageuke kwanza sura hata mbuzi anayo eti😁Mwamba hata ungekua wewe namba ungetoa..!
Hana nyash ila ni mzuri nampendaga na low cut yakeKunawatu watakuambia ageuke kwanza sura hata mbuzi anayo eti😁
Jamani, mbona uko deep hivyo? 😊Kuchafuana kwa kitoto sana
Haya weka na ile aliyovaa taulo kwa mama mwajuma usisahau na ya Lisu