Hii picha inamaanisha kuwa,tunatakiwa kuwa waafrika wapya,yaani mila ziendelee kuwa za kiafrika lakini lugha iwe kingereza.Sasa hapa si ni sawa na kumvisha mmasai lubega na silaha umpe bunduki!!
Picha mbona iko kama kawaida hii hapa napaste tena;
Truely African pride though English is not our first language especially at Primary School why not ONGEA KISWAHILI FASAHA??<!-- google_ad_section_end -->