Hii picha kama siyo shuleni lakini ni mazingira fulani ya karibu na shuleni...
Ukichunguza vizuri inahuzunisha sana lakini inachekesha pia
Dogo anadondosha chozi haamini kilichompata halafu akiangalia mbele yake kuna bonge la shoka (anawaza sijui ni kwajili ya kukata mti au shingo)
Wenzake nao wamesitisha hata kwenda nyumbani/shuleni wanashuhudia mwenzao anavyohangaika na kulia
Kinachochekesha ni hilo shoka na usimamaji wa hao watoto pamoja na mwonekano wao kama wanafunzi
Yaani madogo wameduwaa mpaka wanakanyagana wengine bila hata kugundua na wamepauka balaa halafu kuna anayeonekana kabisa hapo kuwa yeye ndiye kamsababishia mwenzake