masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Rafiki kwani fekelo wameshazifyatua?Jamani, ni duka lipo lenye hii sim mpya original kabisa
wanaomiliki huu mzigo wengi ni vilio
Zimejaa makumbusho
Watu washalizwawanaomiliki huu mzigo wengi ni vilio
yeap . Watu wamepigwa na kitu kizito.Watu washalizwa
wamiliki wanasema performances kwa baadhi ya features zinazingua. Tena kuna uzi humu jf tayari upo kuhusiana na kuzingua kwa hizi simu
Nazipata wap original kabisa.... trusted store ...sio makumbushoyeap . Watu wamepigwa na kitu kizito.
kwa hapo dsm sijajua maana mimi sio mwenyeji huko. Ila option ni kwenda kwa wale original dealers ukiwapata ili kupunguza riskNazipata wap original kabisa.... trusted store ...sio makumbusho
Nazipata wap original kabisa.... trusted store ...sio makumbusho
Hiyo bei watakao mpigaNenda apple store mlimani city
Hiyo bei watakao mpiga
Nazipata wap original kabisa.... trusted store ...sio makumbusho
Niambie simu of Kwa ujumla za iphone uliacha maduka ya mlimani city...niende wapwamiliki wanasema performances kwa baadhi ya features zinazingua. Tena kuna uzi humu jf tayari upo kuhusiana na kuzingua kwa hizi simu
Wadau wanasema Zina changamotoChagua hapo agiza na ya kutolea View attachment 2767507