mindme New Member Joined Apr 6, 2020 Posts 3 Reaction score 7 Oct 1, 2020 #1 Habari za jioni wapendwa, Karibu ujipatie simu ya iphone kwa bei nafuu kabisa, simu ni moja tu na ni used. Haijapasuka wala kukwaruzika pahala na camera yake ni matata. Simu bado ni nzima kabisa haina tatizo la aina yoyote. SIMU: iphone 6+ (inauzwa pamoja na earphones zake) haina charger wala cover UKUBWA: 128gb BEI: 400,000/-Tshs tu. Kwa mawasiliano zaidi piga au whatsapp kwenye number, 0753 951520 Wahi mapema ujipatie simu kwa bei ya kutupa. Bei ni Fixed. Karibuni Sana.
Habari za jioni wapendwa, Karibu ujipatie simu ya iphone kwa bei nafuu kabisa, simu ni moja tu na ni used. Haijapasuka wala kukwaruzika pahala na camera yake ni matata. Simu bado ni nzima kabisa haina tatizo la aina yoyote. SIMU: iphone 6+ (inauzwa pamoja na earphones zake) haina charger wala cover UKUBWA: 128gb BEI: 400,000/-Tshs tu. Kwa mawasiliano zaidi piga au whatsapp kwenye number, 0753 951520 Wahi mapema ujipatie simu kwa bei ya kutupa. Bei ni Fixed. Karibuni Sana.