black chinese
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 1,148
- 1,228
Njoo nikupe laki maana hiyo kuanzia kesho hupati Whatsapp
Kula 50k boss. Maana umri wake umeenda sana64gb, no scratch no dent
Ina wiki mbili tangu itoke Dubai
Alikuwa anaitumia binti wa mfalme wa uarabuni
Ipo Mbagala.. kariakoo unaletewa
Unapewa na chaja yake
Bei 250k, wa 200k msinitafute
Piga 0715 193810
Sisomi mesejiView attachment 1993563
Hyo 6 plain kuna dogo yupo pre form one anaitumia kupigia hesabu kama calculator twisheni kwao64gb, no scratch no dent
Ina wiki mbili tangu itoke Dubai
Alikuwa anaitumia binti wa mfalme wa uarabuni
Ipo Mbagala.. kariakoo unaletewa
Unapewa na chaja yake
Bei 250k, wa 200k msinitafute
Piga 0715 193810
Sisomi mesejiView attachment 1993563
Hyo 6 plain kuna dogo yupo pre form one anaitumia kupigia hesabu kama calculator twisheni kwao
Kula 50k boss. Maana umri wake umeenda sana
Nimegundua Iphone 6 zinauzwa sana mwaka huu sijui kwanini
Vp kiwango chake cha kukaa na moto? camera quality ikoje?Miaka miwili nyuma hizi simu zilikuwa adimu sana kuzishika.. siku hizi bei imeporomoka, wengi wamezikimbilia kisha wakaziona za kawaida kama samsung tu, ndo maana wanarudi kwenye laini 2 walizozoea
Vp kiwango chake cha kukaa na moto? camera quality ikoje?
Duh kwa upande wa betri wako chini sanaBetri ni 1715 mhA
chukua laki mbili net,pesa hii ilikuwa inatumiwa na Mwigulu nchemba Madelu64gb, no scratch no dent
Ina wiki mbili tangu itoke Dubai
Alikuwa anaitumia binti wa mfalme wa uarabuni
Ipo Mbagala.. kariakoo unaletewa
Unapewa na chaja yake
Bei 250k, wa 200k msinitafute
Piga 0715 193810
Sisomi mesejiView attachment 1993563
hahahahahahaNjoo nikupe laki maana hiyo kuanzia kesho hupati Whatsapp