toka ainunue yeyeUkisema imetumika 3 month una maanisha nini?..Toka apple waitengeneze au?
Haujapigwa makeup itakuwa...Huo mkono mbona kama wa kiume halafu umepakwa rangi kucha?
Uko wapi nina 250+ naona km ni shabiki wa wananchi. Uko hapo Kariakoo!
Mkoa gani?Nipo Mkoani nina iphone [emoji336] kama hiyo nataka 250k kaka.!
fungua uzi wako mkuu acha kuharibu nyuzi za watuNipo Mkoani nina iphone [emoji336] kama hiyo nataka 250k kaka.!
fungua uzi wako mkuu acha kuharibu nyuzi za watu