Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
hujui kitu mkuu, heri ukae kimya [emoji16][emoji16]
webs kibao tu bado tunashusha vitu free, hakuna kulipa [emoji39][emoji39], Sikuhizi hata madogo wa miaka 13 wa huko ulaya wanajua kutengeneza apps na wanatusaidia sana kuchakachua apps za kulipia tunazidownload na kuzitumia bila tatizo lolote.
Kazi ipo kwa watumiaji wa iphone maana huko wanawakamua kisawasawa na kubana mbavu wapenda vya bure, ni lazima ulipie tu hakuna namna [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu lete maujanja ya ku download music kwenye iPhone [emoji336]Chukua X ya 64gb inakutosha kama ni mtu wa mapicha na mavideos sana chukua 256gb. Kabla hujadaka njo nkupe hints za kujua kama iphone ni mpya au refurbished na chukua version ya UK/US. Nikupe na maujanja ya kustream ngoma kali na kudownload.
Hyo Apple Music
Ina nyimbo za kibongo
Ina Videos pia au ni audio tuu
Unadowloqd Unlimited?
Ukiacha kulipia Downloaded Content zinafutika?
Kwa Mwezi bei gani?
Mkuu lete maujanja ya ku download music kwenye iPhone [emoji336]
Mkuu lete maujanja ya ku download music kwenye iPhone [emoji336]
Me huwaga natumia Document na download takataka zoteeee then nazimove kwneye itune music
Sijawahi kuyapenda haya madude1. i phones ni gharama, Hapa sitazungumza sana, nachoomba tu nenda duka linalouza i phones mpya (sio mitumba / refurbished) kaulize bei, Inabidi uwe vizuri kiuchumi tofauti na huku android kuna simu hata za laki kwa wenye bajeti finyu ila pia kuna simu za gharama kuliko hata iPhone kwa wanaojiweza kiuchumi. Hata hivyo bado wapo wasiojiweza kiuchumi wanaolazimisha kununua i phones, kundi hili hununua iphones za bei chee refurbished, wanunuzi wa hizi simu wengi lengo ni kufeki maisha waonekane wapo vizuri kimaisha ila zikija bili hata za elf 50 ni visingizio au kutokomea kusikojulikana.
2. Hakuna tundu la kuingiza earphone hizi zilizozoeleka za pini, hapa hadi ununue vifaa vya ziada, huku android unanunua simu utajua wewe utumie earphones za kawaida au wireless, uchaguzi ni wako.
3. Andaa laini moja tu, kuna matoleo machache sana yasiyozidi matatu yenye laini 2, na bei zake zimechangamka.
4. Kudownload nyimbo hata humu jamiifroums ama mtandaoni ni ishu nzito, inabidi uwe mtundu kidogo wa simu ili kufanikisha hili zoezi.
5. Kuhamisha vitu kutoka kwenye simu kwenda kwenye pc ni shughuli pevu, huku android ukichomeka tu waya unahamisha mafaili kwenye computer, kwa iphone hali ni tofauti kidogo.
6. utapata apps kibao kwa android kuliko iphone, Mbaya zaidi huko iphone apps nyingi inabidi ulipie kila mwezi au baada ya mda flani, Kwa android apps nyingi ni bure na hata kama ni za kulipia unaweza kidownload ambazo zimechakachuliwa na hutalipia hata senti.
7. Unaweza ku root android ukabadili hata os na kuipiga sarakasi simu kadri utakavyopenda , Kwa iphone kuna zoezi la jail break, hapa utaweza tu kufanya baadhi ya vitu ambavyo android vinawezekana tayari hata bila kufanya rooting kama kubadili mwandiko, kuseti ringtone iwe muziki anaotaka, n.k Jail break ni kama mtu aliyefungwa kitambaa machoni kutolewa kitambaa ili aone, rooting ya android ni kama kupewa darubini
8. Hutaweza kusikiliza radio bila bando, kama upo vijijini sehem isiyo na internet fanya utaratibu wa kununua radio.
9. Android utaweza kuback up vitu vyako kwenye memory card, matundu ya memory card hakuna kwenye iphone.
10. unaweza kubadili battery kwa wepesi bila hata kwenda kwa fundi, ukiwa na android, sio zote ila kina simu za android battery inatolewa nanunaweza kuweka nyingine kirahisi, lwa iphone battery yake ipo ndani kwa ndani.
11. Kwenye i phone ku customize vitu kuna vikwazo, mfano ringtone utachagua tu wanazotaka wao iphone na inakuwa sekunde 30 tu, huku android ringtone uutaweka hata ya kingwendu ni wewe
12. kitaa cha notification hakipo kwenye iphone, mfani message ikiingia kama simu ipo silent huku android kataa kanawaka.
13. hutaweza kuseti default app, utaweza kudownload app mbadala ya kufungua mafaili lakini hutaweza kuiseti iwe ya moja kwa moja, kika ukifungua faili litafunguliwa na app ya mwanzoni
14. andoid kuna feauture ya multiple user account, simu inakuwa kama facebook, kila moja ana user name yake na password, naweza kumuazima mtu simu akaitumia bila kujua taarifa zangu na akiniruduishia basi na login kwenye user yangu.
15. Battery kwa iphone ni tatizo, wenzangu wenye i phones wanajiteteaga i phone sio simu ya kutumia tumia kila muda basi naishia kucheka tu napoona wanatembea na power benki simu zao zinapokata moto.
16. Kwenye android unaweza kutumia simu kama remote kwa tv zinazotumia jina kama la simu, mfano ukiwa na tv ya samsung itaweza kutumia simu yako ya samsung kama remote, kwa lg nako pia,n.k....huko kwa iphone utaweza kufanya hivi ila ni kwa tv za apple ambazo ni gharama sana na mimi sijawai kuziona bongo japo zinaweza kuwepo kwa uchache.
17.Watu wengi huwa wanadhani iPhone ndio kinara kwenye kamera, hili si kweli, Kuna simu kibao tu kama xiaoni, google, oneplus 8 zina kamera nzuri zaidi kuliko iPhone yoyote
Wewe mahitaji yako yakiwa ni finyu, lazima uridhike na iPhone yenye features chache, Mimi mahitaji yangu yakiwa mapana, mwenye Iphone huwezi kunielewa nikitaka simu yenye features nyingi
Mapungufu ni mengi ila wacha niishie hapa
Mleta uzi acha ushamba tafuta pesa,nilikua na mawazo kama yako saaahivi huniambii chochote kuhusu iphones.
Tuvitu kama hivyo inakuwa pesa iko kwa visa card huko. Wanachukua wenyeweMkuu jibane bane hata siku kadhaa mfululizo ule mihogo ili ulipie hio app ya iphone 😁😁, Huku android hatuna habari za kulipia burudani ya m
HallelujahMleta uzi acha ushamba tafuta pesa,nilikua na mawazo kama yako saaahivi huniambii chochote kuhusu iphones.
Hallelujah
Hapana iphone simu Kwa watu wasio na mamb mengi zitafaaIphone ni za wadada
Mimi natumia Samsung1. i phones ni gharama, Hapa sitazungumza sana, nachoomba tu nenda duka linalouza i phones mpya (sio mitumba / refurbished) kaulize bei, Inabidi uwe vizuri kiuchumi tofauti na huku android kuna simu hata za laki kwa wenye bajeti finyu ila pia kuna simu za gharama kuliko hata iPhone kwa wanaojiweza kiuchumi. Hata hivyo bado wapo wasiojiweza kiuchumi wanaolazimisha kununua i phones, kundi hili hununua iphones za bei chee refurbished, wanunuzi wa hizi simu wengi lengo ni kufeki maisha waonekane wapo vizuri kimaisha ila zikija bili hata za elf 50 ni visingizio au kutokomea kusikojulikana.
2. Hakuna tundu la kuingiza earphone hizi zilizozoeleka za pini, hapa hadi ununue vifaa vya ziada, huku android unanunua simu utajua wewe utumie earphones za kawaida au wireless, uchaguzi ni wako.
3. Andaa laini moja tu, kuna matoleo machache sana yasiyozidi matatu yenye laini 2, na bei zake zimechangamka.
4. Kudownload nyimbo hata humu jamiifroums ama mtandaoni ni ishu nzito, inabidi uwe mtundu kidogo wa simu ili kufanikisha hili zoezi.
5. Kuhamisha vitu kutoka kwenye simu kwenda kwenye pc ni shughuli pevu, huku android ukichomeka tu waya unahamisha mafaili kwenye computer, kwa iphone hali ni tofauti kidogo.
6. utapata apps kibao kwa android kuliko iphone, Mbaya zaidi huko iphone apps nyingi inabidi ulipie kila mwezi au baada ya mda flani, Kwa android apps nyingi ni bure na hata kama ni za kulipia unaweza kidownload ambazo zimechakachuliwa na hutalipia hata senti.
7. Unaweza ku root android ukabadili hata os na kuipiga sarakasi simu kadri utakavyopenda , Kwa iphone kuna zoezi la jail break, hapa utaweza tu kufanya baadhi ya vitu ambavyo android vinawezekana tayari hata bila kufanya rooting kama kubadili mwandiko, kuseti ringtone iwe muziki anaotaka, n.k Jail break ni kama mtu aliyefungwa kitambaa machoni kutolewa kitambaa ili aone, rooting ya android ni kama kupewa darubini
8. Hutaweza kusikiliza radio bila bando, kama upo vijijini sehem isiyo na internet fanya utaratibu wa kununua radio.
9. Android utaweza kuback up vitu vyako kwenye memory card, matundu ya memory card hakuna kwenye iphone.
10. unaweza kubadili battery kwa wepesi bila hata kwenda kwa fundi, ukiwa na android, sio zote ila kina simu za android battery inatolewa nanunaweza kuweka nyingine kirahisi, lwa iphone battery yake ipo ndani kwa ndani.
11. Kwenye i phone ku customize vitu kuna vikwazo, mfano ringtone utachagua tu wanazotaka wao iphone na inakuwa sekunde 30 tu, huku android ringtone uutaweka hata ya kingwendu ni wewe
12. kitaa cha notification hakipo kwenye iphone, mfani message ikiingia kama simu ipo silent huku android kataa kanawaka.
13. hutaweza kuseti default app, utaweza kudownload app mbadala ya kufungua mafaili lakini hutaweza kuiseti iwe ya moja kwa moja, kika ukifungua faili litafunguliwa na app ya mwanzoni
14. andoid kuna feauture ya multiple user account, simu inakuwa kama facebook, kila moja ana user name yake na password, naweza kumuazima mtu simu akaitumia bila kujua taarifa zangu na akiniruduishia basi na login kwenye user yangu.
15. Battery kwa iphone ni tatizo, wenzangu wenye i phones wanajiteteaga i phone sio simu ya kutumia tumia kila muda basi naishia kucheka tu napoona wanatembea na power benki simu zao zinapokata moto.
16. Kwenye android unaweza kutumia simu kama remote kwa tv zinazotumia jina kama la simu, mfano ukiwa na tv ya samsung itaweza kutumia simu yako ya samsung kama remote, kwa lg nako pia,n.k....huko kwa iphone utaweza kufanya hivi ila ni kwa tv za apple ambazo ni gharama sana na mimi sijawai kuziona bongo japo zinaweza kuwepo kwa uchache.
17.Watu wengi huwa wanadhani iPhone ndio kinara kwenye kamera, hili si kweli, Kuna simu kibao tu kama xiaoni, google, oneplus 8 zina kamera nzuri zaidi kuliko iPhone yoyote
Wewe mahitaji yako yakiwa ni finyu, lazima uridhike na iPhone yenye features chache, Mimi mahitaji yangu yakiwa mapana, mwenye Iphone huwezi kunielewa nikitaka simu yenye features nyingi
Mapungufu ni mengi ila wacha niishie hapa