iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...

Mimi natumia Samsung
1.Hakuna kitundu earphone za kawaida
2.Hakuna memory card
3.Siwezi kusikiliza radio bila bando
4.Hakuna notification ya taa kuwaka
5.Hakuna multiple uses account
7.Line ni moja tu
7.you can use eSIM instead
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…