iPhone vs Samsung – Nani Zaidi?

iPhone vs Samsung – Nani Zaidi?

Davidmmarista

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,367
Reaction score
2,451
Habari wadau!

Leo tunazungumzia mjadala usioisha – iPhone vs Samsung! ⚔️
Unapochagua simu, unazingatia nini zaidi? Ubora wa Camera, muundo, kasi, betri, au Operating system?

iPhone: iPhone inajulikana kwa operating system iOS, Security, na muunganiko mzuri na vifaa vingine vya Apple.

Samsung: Samsung inajulikana kwa uhuru wa Android, teknolojia ya screen kali, betri kubwa, na Camera zenye zoom kali.


Wewe unatumia ipi kati ya hizi mbili? iPhone au Samsung? Na kwa nini? Tuachie maoni yako hapa chini! ⬇️🔥
 
Mimi natumia iPhone ila sijazingatia chochote kwa kweli. Niliona sasa ni muda nihame kwenye android nijaribu na huku.
😂Watu wa iPhone mnakosa vitu vingi aise kwanini ulimkimbia android?
 
Mimi natumia iPhone ila sijazingatia chochote kwa kweli. Niliona sasa ni muda nihame kwenye android nijaribu na huku.
Umeona eeh!
Nilipelekwa kwenye matumizi ya iphone kwa mkumbo, sikuelewa nini kimbilio la wengi na sifa kem kem!

Dah! Nisiharibu biashara za watu.

Kwanza kitendo cha kuchomeka charger halafu inajiwasha, overexpectations zangu zote kuhusu simu hiyo zilikata, nikauiuza kwa hasara nikarejea kwenye android.
 
Kwamba......
FB_IMG_1713203779297.jpg
 
Iphone ni sim bora yenye muonekano mzuri, camera nzuri, storage capacity nzuri, security iCloud ipo vizuri.

Changamoto yake ni kiwa haitumii other accesories zisizohusiana na apple brand.

Iko na limitation kwenye apps, haibebi mafail ya kudownload inatumia vitu online hii nibkwasababu ya kulinda carrying capacity ya sim isijae vitu vingi ikaongeza uzito na kupunguza ufanisi na kasi ya simu, tofauti na adroid ambayo inakuruhusu udownload vitu na vihifadhiwe kwenye storage ya sim.
 
Nimetumia samsung na iPhone, kila moja ina ubora wake na changamoto zake. Kwa sasa natumia iPhone kwa sababu ya budget. Nikipata hela za kununua S24 nahama.
 
Habari wadau!

Leo tunazungumzia mjadala usioisha – iPhone vs Samsung! ⚔️
Unapochagua simu, unazingatia nini zaidi? Ubora wa Camera, muundo, kasi, betri, au Operating system?

iPhone: iPhone inajulikana kwa operating system iOS, Security, na muunganiko mzuri na vifaa vingine vya Apple.

Samsung: Samsung inajulikana kwa uhuru wa Android, teknolojia ya screen kali, betri kubwa, na Camera zenye zoom kali.


Wewe unatumia ipi kati ya hizi mbili? iPhone au Samsung? Na kwa nini? Tuachie maoni yako hapa chini! ⬇️🔥
iPhone ni ya kike na Samsung ya Kiume, usiponielewa ndio basi tena walitupa ada bure.
 
Habari wadau!

Leo tunazungumzia mjadala usioisha – iPhone vs Samsung! ⚔️
Unapochagua simu, unazingatia nini zaidi? Ubora wa Camera, muundo, kasi, betri, au Operating system?

iPhone: iPhone inajulikana kwa operating system iOS, Security, na muunganiko mzuri na vifaa vingine vya Apple.

Samsung: Samsung inajulikana kwa uhuru wa Android, teknolojia ya screen kali, betri kubwa, na Camera zenye zoom kali.


Wewe unatumia ipi kati ya hizi mbili? iPhone au Samsung? Na kwa nini? Tuachie maoni yako hapa chini! ⬇️🔥
Samsung
 
Back
Top Bottom