Wakuu naomba msaada wenu tafadhali.iPhone yangu ni model MB489B,nimetafuta video camera lakini nimekosa,je ni ushamba wangu,au mchina kafanya vitu vyake?Kama kuna mwenye kuijua tafadhali anisaidie wakuu
Wakuu naomba msaada wenu tafadhali.iPhone yangu ni model MB489B,nimetafuta video camera lakini nimekosa,je ni ushamba wangu,au mchina kafanya vitu vyake?Kama kuna mwenye kuijua tafadhali anisaidie wakuu
yani modeli hyo umeipata wapi mkuu iphone kuna 2g, inakuwa rangi ya silver na kifuniko cheuc chini kabisa nxuma alafu kuna 3g ni nyeuc kuna 4g ni za silver ss fafanua yakwako ni org au mchina mana mchina kafetua kutofautisha unaitaji neema yakipekee mana kila cku wanalizwa