iphone8 vs samsung s8

slimdaddy

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
531
Reaction score
481
kwa akina dad ambao mlikubali kuachia bikra zenu ili mradi na ww umiliki smartphone aina ya tecno p3[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nakupa polee xana mana i phone 8 na s8 ndo zinakujaaaaaa[emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]
RUKSA kama ni girl kuchangia uliachia bikra yakk kwa ushawish gani
RUKSA kma ni boy usha harib bk ya msichana kwa kitu gani[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
 
Sijaona hata ulichofanya
Kwani wote waliotoa bikra walitoa kwa sababu ya cm.
 
Pale unashare kitu kwa watu afu uko so exited afu watu wanakichukulia poa..... Inaumagaaaah
 
Pasaka ilishaisha..hizi shule zifunguliwe tu.
 
mi hata nilijua anafanya comparison ya iphone8 vs samsung s8 then nakutana na vitu tofauti.. inaonekana dhahiri kabisa kuwa kuna sehemu viroba bado vinauzwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…