Umefafanuwa vzr sana mkuu hongera kwa hilo.Kadi nyekundu ilikuwa mechi ya Yanga na Njombe Mji. Kadi nyekundu ilitolewa kwa sababu ule mpira aliodaka kipa ulikuwa unakwenda ndani ya goli moja kwa moja na golikipa alifanya makusudi kabisa kudaka huku akiwa nje ya 18.
Mechi ya Simba na Mwadui golikipa alidakia ndani au tuseme kwenye edge, lkn akajikuta anatoka nao nje ya 18, lakini kubwa kuliko hakua amezuia mpira kuingia golini, alkuwa anaondoa hatari. Maamuzi yote waliyofanya marefarii hawa ni sahihi
Kadi nyekundu ilikuwa mechi ya Yanga na Njombe Mji. Kadi nyekundu ilitolewa kwa sababu ule mpira aliodaka kipa ulikuwa unakwenda ndani ya goli moja kwa moja na golikipa alifanya makusudi kabisa kudaka huku akiwa nje ya 18.
Mechi ya Simba na Mwadui golikipa alidakia ndani au tuseme kwenye edge, lkn akajikuta anatoka nao nje ya 18, lakini kubwa kuliko hakua amezuia mpira kuingia golini, alkuwa anaondoa hatari. Maamuzi yote waliyofanya marefarii hawa ni sahihi
Nataka kujua pia mpira unatengwa sehemu gan kama golikipa kafanya makosa hayo je ni penalty au1. Kudaka makusudi ni Red straight.
2. Kudaka bahati mbaya ni Yellow
3. Kudaka bahati mbaya kwelikweli hiyo hakuna kadi la faulo ipo palepale..